Peter Msigwa: Baada ya kushinda kesi ya Mbowe, nini hatma ya mauaji ya Akwilina?

Hivi wanaosababisha vifo vya watu huwa wanakuwa na amani ya moyo? Kwenye swala hili kuna yule aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni Aron Kagurumjuli, Muliro alikuwa rpc Kinondoni wakati huo, Mambosasa pengine na wengine.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…