Wee kuwa na ubinadamu bas, huyo binti hata siasa hakuwa anaijua. KhaaahChadema walimponza binti wa watu eti nae alitaka aandikwe kuwa mwana harakati
Mkuu,weye elewa tu nimekutukana.Sasa Akwilina alitaka aandikwe wapi ngedere weye?Chadema walimponza binti wa watu eti nae alitaka aandikwe kuwa mwana harakati
lazaro Mambosasa alikuwa na kauli za kijinga sana kama yule wa kwa Gogo-Land!Anaitwa Grace Muloto sijui nani!Lock up all of them!πππππMiongoni mwa watakaodakwa awe Lazaro Mambosasa
Kwan tusi lako mie limenifanya nini mkulungwa ?????Mkuu,weye elewa tu nimekutukana.Sasa Akwilina akitaka aandikwe wapi ngedere weye?
Mkuu kwa heshima kubwa sana mimi siyo mkulungwa.Mkulungwa ni shangazi yako.Wigwa mwanamayu!?Kwan tusi lako mie limenifanya nini mkulungwa ?????
Wakuu bado sura ya mdogo wetu Akwilin Akwilina inanijia. Sijui kwanini jambo kubwa kama hili lilimalizwa kiaina katika dunia ya leo. Kulingana na mazingira ya kifo kuhusisha vyombo vya usalama ni wakati sasa wa kulifungua jarada la kesi ya Akwilin ili wahusika wawajibishwe.
It really pains!Was jus' a lil' girl!Fikiria kama angekuwa ni binti yako.π‘π‘π‘π‘
Sasa umuhimu wake ulikuwa upi?Hebu elezea.
Msigwa ana kichwa kidogo ila ana akili njema sana.We need people of the like.Ni muhimu kwa afya ya taifa.Siyo mtu anakuwa na mbichwa mkuuubwaaa halafu hana akili nzuri.Ni kama li-radio kubwa bendi mojaππππ
[well thought out!!