Pre GE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katiba Mpya na Tume HURU ya Uchaguzi sio Tume hii inayozarauliwa hadi na Nape
Katiba Mpya inapatikana Kwa maandamano?

Katiba Mpya inasaidia nini mwananchi?

Baada ya hayo mumeipata? Tume huru ipo au nyie mnataka ya kwenu kichwani? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndugu yangu Mchungaji Msigwa Asali ikipigwa na Jua inakuwa Wanzuki inalevya kaa kwenye kimvuli lamba tatatiiibu vaa na pekos anza kusikiliza zilipendwa.

Hivyo vijikaratasi vya Makala anavyokuandikia ili uvisome ni kujiaibisha tu.
 

View: https://www.instagram.com/reel/C9jbLgvIQIb/?igsh=N3N0d2N2a2xzaXQz
 
Siasa ni ajira na ili ubaki kwenye hiyo ajira lazima uponde upande wa pili
 
Mlikuwa mnaandamania nini?

Jibu ni kwamba baada ya maandamano yenu ya awali kupuuzwa Sasa mumepanga kuleta wavuta bangi wafanye looting Ili Mpate attention na kuharibu amani.

Mnatakiwa kudhibitiwa.

Moja ya hoja za maandamano ilikuwa ni hali ngumu ya uchumi, na mfumuko wa bei. Kama serikali imepuuza hoja hizo, basi imepuuza Watanzania waliowengi. Labda wewe ni bilionea hauguswi na changamoto za Watanzania wa kawaida.
 
Ni mchungaji mpumbavu sana asiyejua kuwa mambo yanayotokea duniani ni mambo ya kiroho na yanalenga kubadili mawazo ya binadamu kudhani kuwa wanaweza kubadili asili ya vitu.

Mama samia na watawala wengi duniani wanapotoka kwa kuangalia mambo ya kidunia na kusahau uumbaji wa Mungu kuwa ndio salama ya viumbe vyote.

Tangu awamu hii ianze hata Mungu anadharaulika kuliko matajiri na watawala.

Yaani hata manabii na viongozi wa dini walekua machawa wa kudhani kuwa rasilimali za nchi hii zilizoumbwa na Mungu ni mali ya mama Samia .

Hii ni roho ya kufru kubwa imeingia tanzania. Na waindelea kujega roho ya dhulma na kutapanya rasilimali za asili pataibuka kundi lisilotegemewa na mtu yeyeote na litasambaratisha kila walichokusanya kamwa ajili ya ubinafsi wao na familia zao.

Msigwa alipigana vita vizuri ushindi ulekaribia ndio ametekwa na hakika kabla hajaondoka duniani atavuna alichokipanda mana hakuna CCM yenye nguvu ile ya Magufuli tena Tz. Hakuna uwezekano tena wa kuiba kura na nchi ikwa salama .

Hakuna Lkurugenzi atakayeiba kura akakenua meno .

Nawashauri wapinzai iwe tu wazi kuwa bila katiba mpya basi uchaguzi usiwepo kabisa. Kama katiba ni 2026 basi uchaguzi uwe ni 2027 na sio kinyume chake.

Uchaguzi wa dhuluma utapelekea kumwaga damu za watoto wa maskini kuuana wakitetea matajiri na watawala.

Wanaoumizwa na wizi wa kina Nape ,Kinana Bashe n Samia ni Polisi ambao wengi ni watoto wa maskini. Wanaoumizwa na vurugu ni Waajesi amaboa dengi ni watoto wa maskini . Leo kule kule mali asili watoto wa maskini wanatumiwa na Waarabu walioangamiza tembo wetu karne ya 18 na sasa wamekuja kama waporaji wa ardhi ya hifadhi na wanalindwa kwa mtutu wa binduki kuwahamisha wazawa ambao ni wawekezaji wa mifugo nchini yaani wamasai.

Dhulma za watawala dhidi ya Wazawa ndizo zinazoleta vurugu.

Na Msigwa asijidanganye kuwa kuna watu mil. 65 na wa ataeelea kukaliwa kimabavu na watu wasiozidi elfu 1. Ni kichaa tu asiyeweza kutabiri yajayo kutokana na kukopa kopa na kuiza rasilimali za nchi.

Taifa lenye mipango ya kukuza na kujega uchumi lilipaswa kuwa na akiba ya dhahabu zaidi ya tani Elfu kumi mpaka sasa na sio kununua Korosho na mahindi pekee yake.

Seukali ingepunguza kodi ya vifaa vya ujenzi, na pia kujenga nyumba za bei nafuu kwa wakulima na sio kununua mahindi halafu unapandisha bei ya vitu na bidhaa nyingine zote .

Mipango ya kuwanufaisha wanasiasa ndiyo itakayoibua kundi lisilo na siasa na kuwaimbiza wanasiasa kama Msigwa wanaodhani kuwa ukiwa CCM basi una amri juu ya uhai wa watu wengine .
 
Mamluki chawa wamezidi kwa ufadhili wa wanavidumu,baada ya wengine kuonq mirija yao imekatiliwa mbali wanakuja na hoja mfu baada ya usaliti.
 
Ingawa Msigwa ni malaya wa kisiasa ila kwa hapa ana hoja. CHADEMA ijitafakari sana kwenye kufuata katiba yake. Ubabe wa Mbowe utazidi kuzalisha malaya wengi wa kisiasa.
 
Ingawa Msigwa ni malaya wa kisiasa ila kwa hapa ana hoja. CHADEMA ijitafakari sana kwenye kufuata katiba yake. Ubabe wa Mbowe utazidi kuzalisha malaya wengi wa kisiasa.
Ikitokea hivyo wanavidumu watafaidi kwani watajiokotea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…