kama imepangwa gen z iingie tanzagiza itaingia na kukinukisha na hakuna wa kuzuia, haya mambo yako globally coordinated, salama yenu tu tanzagiza isiwemo kwenye huo mpango vinginenvyo mtadhalilishwa na kuachwa uchi sana, usisahauu panya road tu watoto wa miaka 12 walisimamisha mji wote wa dar ije kuwa globally coordinated gen z ?
Ni mchungaji mpumbavu sana asiyejua kuwa mambo yanayotokea duniani ni mambo ya kiroho na yanalenga kubadili mawazo ya binadamu kudhani kuwa wanaweza kubadili asili ya vitu.
Mama samia na watawala wengi duniani wanapotoka kwa kuangalia mambo ya kidunia na kusahau uumbaji wa Mungu kuwa ndio salama ya viumbe vyote.
Tangu awamu hii ianze hata Mungu anadharaulika kuliko matajiri na watawala.
Yaani hata manabii na viongozi wa dini walekua machawa wa kudhani kuwa rasilimali za nchi hii zilizoumbwa na Mungu ni mali ya mama Samia .
Hii ni roho ya kufru kubwa imeingia tanzania. Na waindelea kujega roho ya dhulma na kutapanya rasilimali za asili pataibuka kundi lisilotegemewa na mtu yeyeote na litasambaratisha kila walichokusanya kamwa ajili ya ubinafsi wao na familia zao.
Msigwa alipigana vita vizuri ushindi ulekaribia ndio ametekwa na hakika kabla hajaondoka duniani atavuna alichokipanda mana hakuna CCM yenye nguvu ile ya Magufuli tena Tz. Hakuna uwezekano tena wa kuiba kura na nchi ikwa salama .
Hakuna Lkurugenzi atakayeiba kura akakenua meno .
Nawashauri wapinzai iwe tu wazi kuwa bila katiba mpya basi uchaguzi usiwepo kabisa. Kama katiba ni 2026 basi uchaguzi uwe ni 2027 na sio kinyume chake.
Uchaguzi wa dhuluma utapelekea kumwaga damu za watoto wa maskini kuuana wakitetea matajiri na watawala.
Wanaoumizwa na wizi wa kina Nape ,Kinana Bashe n Samia ni Polisi ambao wengi ni watoto wa maskini. Wanaoumizwa na vurugu ni Waajesi amaboa dengi ni watoto wa maskini . Leo kule kule mali asili watoto wa maskini wanatumiwa na Waarabu walioangamiza tembo wetu karne ya 18 na sasa wamekuja kama waporaji wa ardhi ya hifadhi na wanalindwa kwa mtutu wa binduki kuwahamisha wazawa ambao ni wawekezaji wa mifugo nchini yaani wamasai.
Dhulma za watawala dhidi ya Wazawa ndizo zinazoleta vurugu.
Na Msigwa asijidanganye kuwa kuna watu mil. 65 na wa ataeelea kukaliwa kimabavu na watu wasiozidi elfu 1. Ni kichaa tu asiyeweza kutabiri yajayo kutokana na kukopa kopa na kuiza rasilimali za nchi.
Taifa lenye mipango ya kukuza na kujega uchumi lilipaswa kuwa na akiba ya dhahabu zaidi ya tani Elfu kumi mpaka sasa na sio kununua Korosho na mahindi pekee yake.
Seukali ingepunguza kodi ya vifaa vya ujenzi, na pia kujenga nyumba za bei nafuu kwa wakulima na sio kununua mahindi halafu unapandisha bei ya vitu na bidhaa nyingine zote .
Mipango ya kuwanufaisha wanasiasa ndiyo itakayoibua kundi lisilo na siasa na kuwaimbiza wanasiasa kama Msigwa wanaodhani kuwa ukiwa CCM basi una amri juu ya uhai wa watu wengine .