Pre GE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alishindwa yule dikteta uchwara Magufuli hadi akaamua kufa ndiye huyo mbilikimo ataweza?
 
Msigwa kachanganyikiwa nadhani baada ya kukosa uwenyekiti wa Kanda automatically akahisi atakosa ubunge kwa tiketi ya cdm ubunge unamtesa sijui akikosea ubunge na huko ccm itakuwaje

Angekubaliana na situation akabaki mwanachama wa kawaida tu maisha yaendelee

Labda alibadili life style alipopata ubunge ndo shida ilipoanzis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…