ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #141
Wako makini sana,Tulia dozi ikuingiePeneza na Msigwa wawe makini wanapoizungumzia Chadema...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako makini sana,Tulia dozi ikuingiePeneza na Msigwa wawe makini wanapoizungumzia Chadema...
Lowasa peoples.....Sio baada ya kushindwa uchaguzi?
Na Angeshinda je?
😅😅😅
Peter Msigwa nimemlaani kwa Jina la Bwana Mungu wa Israeli jambo baya litampata kwa dhihaka anayofanya.
Sisi watu wa Mungu tulimwamini akatangulia mbele ktk mapambabo ameamua kukejeli kazi ya Mungu?
Natamka kwa jina la Mungu, Mungu wa Yakobo. Msigwa Mungu atashughulika na wewe very soon
Mbona kwenye mikutano ya Chadema wanawaambia tatizo ni ccm? Hao Chadema wana mapya yapi?Sisi wananchi matatizo yetu sio Mbowe na chadema,tuna hitaji ajira,Elimu bora ect
Wiki mbili zilizopoita alikuwa Singida akipigania ChademaKinachonishangaza Ni kwamba kipindi chote Msigwa Ni mbunge Mambo hayo alikua hayaoni amekuja kuyaona baafa ya kushindwa kwenye uchaguzi na Sugu.
Msigwa aseme njaa yake, aachane na Chadema.
Watu wenyewe wepeseeesiiiiii kama genge la waporaji!kama imepangwa gen z iingie tanzagiza itaingia na kukinukisha na hakuna wa kuzuia, haya mambo yako globally coordinated, salama yenu tu tanzagiza isiwemo kwenye huo mpango vinginenvyo mtadhalilishwa na kuachwa uchi sana, usisahauu panya road tu watoto wa miaka 12 walisimamisha mji wote wa dar ije kuwa globally coordinated gen z ?
Huyo njaa tu, hao ni watu waliozowea kukaa Yanga nje pale kungomba omba na walikuwa wakiwekwa milangoni siku za mechi kuiba pesa za kiingilio, Hersi amekata hayo, sasa njaa kali.Fara sana,aise kumbe alikuwa mjinga kitambo sana,hoja zake hazina mashiko yoyote ni pumba tu.
Peter Msigwa ameibua hisia za ajabu sana miongoni mwa JamiiWA kupuuzwa tu
CCM ni nguruwe kabisaNyumbu wote wako Chadema
Poleni sanaa! Kwa maana JEMBE hili, limetafutwa na CCM kwa zaidi ya miaka 10. Kikwete alimkosa, Magufuli alimkosa lakini kwa mama kaingia King!
Acheni tu, mama ni mwanasiasa aliyekomaa. Na sasa Mchungaji ndani ya kijani anaivua chadema nguo zote.
Hivi mtapitia wapi CHADEMA.
😂😂😂👇👇Tatizo lako ni kufikiri kila anayecomment hapa ni MwanaCCM au ni mwana CDM .... that is wrong mind set.
Sawa CCM wanaweza wakawa wamemfuatilia siku nyingi ... may be wana sababu zao. Lakini kumuita ni jembe, Hell No. Huyo ahutubie tu huko kwao Iringa ..... kwingine hawamjui kama anaexist. Akienda Mbeya huko hataweza kupambana na nguvu ya SUGU .... that's the fact and you know it.
Huyu binti kipenzi changu, sasa anataka kuharibu, kila saa ni Chadema, Chadema Chadema in negative ways!. Nawasisitiza Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!
P