Hana akili huyo. Aje chadema akili kubwa aone Raha.Je,wewe unazo akili za kumzidi Mch.Msigwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana akili huyo. Aje chadema akili kubwa aone Raha.Je,wewe unazo akili za kumzidi Mch.Msigwa?
Halina ubishi ndio maana hata kiwango changu cha Elimu huenda ni mara dufu ya Msigwa ,achalia exposure niliyokunayo ambayo si ya kitoto hata kidogoJe,wewe unazo akili za kumzidi Mch.Msigwa?
Jaribu kuwa serious ,hiki chama kwa haraka tu elimu za wasemaji wakuu ,naombeni wenyewe mjaze:Hana akili huyo. Aje chadema akili kubwa aone Raha.
Umesahau huko kwenu Kuna ustaadh alifeli Hadi uraia na Sasa Ni muheshimiwa.Jaribu kuwa serious ,hiki chama kwa haraka tu elimu za wasemaji wakuu ,naombeni wenyewe mjaze:
1: Mzee Freeman Mbowe
2: Godbles Lema
3:Mdude chadema
Chama Cha mbululazJaribu kuwa serious ,hiki chama kwa haraka tu elimu za wasemaji wakuu ,naombeni wenyewe mjaze:
1: Mzee Freeman Mbowe
2: Godbles Lema
3:Mdude chadema
Halina ubishi ndio maana hata kiwango changu cha Elimu huenda ni mara dufu ya Msigwa ,achalia exposure niliyokunayo ambayo si ya kitoto hata kidogo
Huna uwezo wa kuelewa, mdee anatokaje kwenye saccos ya wachaga wenzake?Wenzake wanaojitambua walishatoka huko kwenye hiyo saccos ya wachaga eg Silinde,Dk Mollel ,kina Halima nk.
Sasa yeye ngoja aendelee kupiga miayo huko
Jaribu kuwa serious ,hiki chama kwa haraka tu elimu za wasemaji wakuu ,naombeni wenyewe mjaze:
1: Mzee Freeman Mbowe
2: Godbles Lema
3:Mdude chadema
1:Kuongea kwa jazba na kufoka,
2: Kulalamika bila kutoa njia mmbadala
3:Kukurupuka na kuandika kwenye mitandao lugha za matusi
4:Kulaani wenzao wafe
Mnaweza kuongezea .
FUATILIA SIASA ZA CHAMA CHAKO PILIPILI ZA CHADEMA ZINAKUASHIA NINI?Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo.
Mchungaji Msigwa ni mmoja ya wanachama wachache saana walioko chadema mwenye kuweza kuongea na kutoa maono yenye maana pamoja na ukweli ya kwamba ameiga baadhi ya tabia za wanachama,ambazo ni,
1:Kuongea kwa jazba na kufoka,
2: Kulalamika bila kutoa njia mmbadala
3:Kukurupuka na kuandika kwenye mitandao lugha za matusi
4:Kulaani wenzao wafe
Mnaweza kuongezea .
Ni mawazo yako mkuu,laiti ungejuaWewe punguani hivyo ndiyo uwe na elimu kubwa? Kwa unavyoandika humu, sidhani kama una elimu ya kuzidi certificate ya Form 4. Na yenyewe itakuwa ni ile tu ya kukaa miaka minne, siyo ya performance.
Kwani ni mmchagga?Mch Msigwa ndiye pekee anayestahili kuwa mwenyekiti wa chadema kwa sasa.
Acha ujinga ,ni jukumu letu kelimisha kizazi kinachaangamizwa kwa kupewa ukamanda .FUATILIA SIASA ZA CHAMA CHAKO PILIPILI ZA CHADEMA ZINAKUASHIA NINI?
Mkuu acha kujidanganya ,elimu ni muhimu sana kwa binadamu yoyote yule ,hivi unafikiri mzee Mbowe angekuwa na elimu sahihi angekuwa anaongea kwa kufoka na huku mate yanamtoka mdomoni?unadhani Lema angekuwa na elimu sahihi angekuwa anaombea watu wafe?Hivi hao wanatofautiana vipi na elimu ya Mh. Rais wetu? Kama elimu ni kigezo, basi marais wote wangekuwa maprofesa, maana hakuna Taifa lisilo na maprofesa.
Watu ambao walithibitika kuwa na akili kubwa kuzidi wanadamu wote, wa kwanza ni Myahudi Albert Einstein, wa pili ni Sir Isack Newton, wa tatu ni Galileo Galilei. Wote, hakuna aliyewahi kuwa Rais, waziri au mbunge. Na hakuna aliyewahi hata kuchukua fomu kugombea cheo chochote.
Vyeo vya kupigiwa kura au kuteuliwa, kiuhalisia ni vya average brain. Super intelligents hawahangaiki na mambo ya kupigiwa kura.
mchungaji ana beti huyo dah 🐒Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo.
Mchungaji Msigwa ni mmoja ya wanachama wachache saana walioko chadema mwenye kuweza kuongea na kutoa maono yenye maana pamoja na ukweli ya kwamba ameiga baadhi ya tabia za wanachama,ambazo ni,
1:Kuongea kwa jazba na kufoka,
2: Kulalamika bila kutoa njia mmbadala
3:Kukurupuka na kuandika kwenye mitandao lugha za matusi
4:Kulaani wenzao wafe
Mnaweza kuongezea .
CCM wao wamelaaniwa pekeeHauna hoja zaidi ya kulaumu wapinzani kwani nyie ccm hamuwatukani na kuwakejeli wenzenu
Una laana wewe, Mbowe ana degree tena kasoma Uingereza ambako ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kufika, anakutana na mabolozi wakubwa duniani wewe hujawahi hata kukutana na DAS.Mkuu acha kujidanganya ,elimu ni muhimu sana kwa binadamu yoyote yule ,hivi unafikiri mzee Mbowe angekuwa na elimu sahihi angekuwa anaongea kwa kufoka na huku mate yanamtoka mdomoni?unadhani Lema angekuwa na elimu sahihi angekuwa anaombea watu wafe?
Well saidUkiona mtu anatoka CHADEMA kwenda CCM jua huyo siyo mwanasiasa bali alifuata fursa ya kuchaguliwa kuwa Kiongozi ili ajipatie ukwasi kupitia madaraka.Mwanachadema halali ni yule anayetambua matatizo yake,ya familia nyingine na maisha ya Watanzania kwa ujumla.Mtu mwenye akili huwezi sifia malaya kama Halima anayeuza utu wake ili aendelee kulamba pesa za serikali bure.
Kwa vigezo hivyo, yule ni mchungaji au mganga njaa makanisani?Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo.
Mchungaji Msigwa ni mmoja ya wanachama wachache saana walioko chadema mwenye kuweza kuongea na kutoa maono yenye maana pamoja na ukweli ya kwamba ameiga baadhi ya tabia za wanachama,ambazo ni,
1:Kuongea kwa jazba na kufoka,
2: Kulalamika bila kutoa njia mmbadala
3:Kukurupuka na kuandika kwenye mitandao lugha za matusi
4:Kulaani wenzao wafe
Mnaweza kuongezea .