Peter Msigwa Hastahili kuwepo CHADEMA

Msigwa ni TISS sijui kwanini CHADEMA wameshindwa kumbaini muda wote huo
 
CDM wangekuwa hawajitabui, CCM isi gekuwa inakwenda huko kutafuta Mawaziri.
 
Mbona hizo zote ulizomsifia ni tabia za ovyo tu🤣😂
 
Kutaka kukufanya uwe mjakazi wake pale Iringa.
 
Halima unaweza mfananisha na mwanaume gani pale chadema kwa uwezo wa kujenga hoja? kama yupo ,leo hii nitachukua kadi ya cdm
Kwa makupe Halima ni mbunge lakini kwa Watanzania Halima siyo mbunge.
 
Halina ubishi ndio maana hata kiwango changu cha Elimu huenda ni mara dufu ya Msigwa ,achalia exposure niliyokunayo ambayo si ya kitoto hata kidogo
Wewe kupe unateseka ukiwa wapi?Wenye elimu hawahangaikagi na majungu,majungu ni ya watu wajinga kama wewe.
 
We mwenyewe Kwa utumbo huu unatamanisha kutukanwa na kupigwa kabisa! Huna hoja unalalamika hovyo kama mke mdogo
 
Kwa makupe Halima ni mbunge lakini kwa Watanzania Halima siyo mbunge.
Hivi yule mbunge wa chadema kwa viti maalumu ambae ni mke wa naobu katibu bara nae hakupata barakq za chame ehe
 
We mwenyewe Kwa utumbo huu unatamanisha kutukanwa na kupigwa kabisa! Huna hoja unalalamika hovyo kama mke mdogo
Unaamini sana ulikotokea ,naamini wewe ni bingwa jitahidi kwa kadri uwezavyo urejee huko kama aliekuleta bado yuko hai mkuu ,ingependeza saaana
 
Unaamini sana ulikotokea ,naamini wewe ni bingwa jitahidi kwa kadri uwezavyo urejee huko kama aliekuleta bado yuko hai mkuu ,ingependeza saaana
Na iwe kwako,wazazi wako na ukoo wako woote kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…