Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshasahau alikotoka sasa hivi anajiona naye mmoja wa madon wa CCM.Enzi hizo anauz mtumba 1987
IringaView attachment 3032383
Mzee kafika bei kirahisi snAngalia hapa kama ametafuna mbilimbi
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa
Wakimpa uDC na sisi tunaohangaika na chama tunakesha tunateseka na elimu yetu tunayo watuache tunaishia kupiga makofi, watajua nguvu yetu ya mdomoni na kwenye box la kura. Hatukubali.Ukisharudisha dau na Udc utampa wewe?
Hana nguvu hiyo. Mbona maovu aliyokuwa anasema yako CCM kayafuata. Kachemka! Mwache abebeshwe picha mpaka basi. Kasaini mikataba wa kudhalilisha nafasi yake! Na kama kaenda huko Kwa hasira za kukosa cheo Chadema, yaani usajiri bila malipo imekula kwake, bora awe kalamba posho. Ataaibishwa sanaHuyu mwana saccos atawasumbua sana. Alikuwa jikoni, mlipanga nae mishe zote atawavua kila kitu.