Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Enzi hizo anauz mtumba 1987
Iringa
Screenshot_20240702-230508_X.jpg
 
Ukisharudisha dau na Udc utampa wewe?
Wakimpa uDC na sisi tunaohangaika na chama tunakesha tunateseka na elimu yetu tunayo watuache tunaishia kupiga makofi, watajua nguvu yetu ya mdomoni na kwenye box la kura. Hatukubali.
 
Huyu mwana saccos atawasumbua sana. Alikuwa jikoni, mlipanga nae mishe zote atawavua kila kitu.
Hana nguvu hiyo. Mbona maovu aliyokuwa anasema yako CCM kayafuata. Kachemka! Mwache abebeshwe picha mpaka basi. Kasaini mikataba wa kudhalilisha nafasi yake! Na kama kaenda huko Kwa hasira za kukosa cheo Chadema, yaani usajiri bila malipo imekula kwake, bora awe kalamba posho. Ataaibishwa sana
 
Back
Top Bottom