Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
eeee, aaaaah, eeeee, aaaaaa............aaaa. mdomo na akili vinapishana🤣🤣🤣🤣 kwakeli njaa mbaya sana, huponza kichwa. Sijui kigugumizi kimemuanza lini.
 
Ukinunua shati jipya wewe ndiye utapanga ulivae siku ya Idd au pasaka

..hebu msaidieni mwenzenu kabla hajaharibikiwa kabisa.

..tafuteni wazee hata toka nje ya chama wawasuluhishe.

..sad kumuona Msigwa anadhalilika kiasi hiki.

..bado hamjachelewa.
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

angalia video hapa chini.

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
kwani kalazimishwa kwenda ccm? kaenda mwenyewe kwa akili zake timamu anakosaje uhuru ?? IMEWAUMA SANAAAAAAAAA Erythrocyte
 
Kama ulishahama si utulie. Mambo ya kurudia uongo sio vizuri.
Uongo hupi huo,wote tulikuwepo 2015 wengi walishauli Mbowe kuhusu nia yake ya kubadilisha gia angani kuwa ndio mwisho wa chadema hakashupaza shingo,haya unayoyaona yalitabiriwa toka enzi hizo naona Wewe ni kijana wa 2000,tafuta nyuzi za 2015 wakati Mbowe anampokea Lowassa,angalia maoni ya wadau na hotuba ya Dk Slaa Serena hotel.
 
Maisha hayataki democracy wala hayaruhusu hicho kitu.

Angekua na hoja zaidi endapo haya maamuzi angeyafanya kabla ya uchaguzi wa ndani wa CDM, vinginevyo ni msaka tonge kama wengine wote.
Angeshinda yeye wala huu utopolo wake usingesikika
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

angalia video hapa chini.

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
Yaani wanadamu huwa hatuna maono
Mungu hapendi dhihaka. Ona walivyo umbuka. Shenzi zao
 
..baada ya kutafakari nimeona Msigwa anastahili ushauri nasaha, kuliko lawama na shutuma.

..inawezekana ni kweli amekosewa na viongozi wenzake, lakini hatua alizochukua zinakwenda kumharibia zaidi.

..watafutwe wazee wenye heshima wakamsuluhishe Peter Msigwa na viongozi wenzake ktk chama.

NB:

..kuna mtu alisema Chadema hakuna wazee nadhani hakukosea kusema hivyo.
 
Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.

Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.

Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.

angalia video hapa chini.

Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

View attachment 3031046
semeni ukweli kwamba mbowe ameharibu chama, aachiwe chama awe peke yake na ndugu zake.
 
..baada ya kutafakari nimeona Msigwa anastahili ushauri nasaha, kuliko lawama na shutuma.

..inawezekana ni kweli amekosewa na viongozi wenzake, lakini hatua alizochukua zinakwenda kumharibia zaidi.

..watafutwe wazee wenye heshima wakamsuluhishe Peter Msigwa na viongozi wenzake ktk chama.

NB:

..kuna mtu alisema Chadema hakuna wazee nadhani hakukosea kusema hivyo.
Msigwa amekosewa na Sugu kumng'owa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Anataka demokrasia ipi zaidi ya hiyo? Ni wapi ameandikiwa lazima awe na madaraka?

Picha inaongea mengi.

IMG-20240702-WA0039.jpg
 
Msigwa amekosewa na Sugu kumng'owa uenyekiti kanda ya Nyasa.

Anataka demokrasia ipi zaidi ya hiyo? Ni wapi ameandikiwa lazima awe na madaraka?

Picha inaongea mengi.

View attachment 3032365
Amesahau kuwa Chadema ndiyo iliyo mshape hadi CCM ikamtamani, mbona hawakumchukua kipindi hiki anauza mitumba alivyokuwa amepauka kama mpira wa makaratasi?
 
Back
Top Bottom