Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiwa chawa unakula Hela za CCM ila mtaani unadharaulika, ukiwapinga ccm mtaani unaheshimika ila maisha yatakugonga, mkeo watamgonga na watoto wako watapauka mbaya... Yote katika yote napinga uchawa mpaka mwisho wa Dunia...
 

Attachments

  • JamiiForums1389173211.jpeg
    JamiiForums1389173211.jpeg
    25.7 KB · Views: 2
Vi memo kwenye vikao au during press briefing mbona jambo la kawaida sana, haijalishi nani anaongea, hata Mh. Rais au Waziri Mkuu akiwa anaongea sehemu yoyote hata bungeni anapewa vi memo ili aongezee anachoongea..!! Hakuna tatizo lolote, Mchungaji Msigwa tumempokea CCM, hivyo kupewa ki memo na Makala ni sawa kabisa..!!

Mchungaji Msigwa hayuko Chadema tena, naona Chadema bado hamkubali hali halisi, mmeshapigwa goli moja takatifu sana na Mh. Rais wetu Mama Samia, tuseme ukweli, 2025 Chadema mkipata hata mbunge mmoja, itakuwa bahati sana na mgombea Urais kwa upande wa Chadema akipata hata 5% za kura zitakazopigwa basi atakuwa kajitahidi sana..!!

Nawasihi Chadema, Mchungaji Msigwa mtoeni katika akili zenu, naona bado mnaumia sana, tayari Msigwa ni CCM na anawarushia makombora kama CCM yeyote yule, hivyo acheni dhana labda bado yuko Chadema..!!
Nani ana muda na Msigwa tulimpiga Chini kwenye uchaguzi Kanda ya Nyasa. So ni makapi ya kisiasa mmepokea.
 
Poor since when? Ghafla tu, au wewe ndio ujitizame upya, mwenzako ndio yuko so vema sana na CCM inamlinda kwa hali na mali..!!
Duh! Kwa maana nyingine msigwa ana hadhi kubwa kuliko wanaccm aliowakuta? Mpaka alindwe?
 
Mtajuana wenyewe h

Mtajuana wenyewe hakina Sisi tuliachana na chadema wakati Mbowe na genge lake walipoamua kubadilisha gia angani kwa kulamba matapishi yao wenyewe,tokea hapo niliacha kumwamini mwanasisa wa Tanganyika,Slaa aliwaambia kuwa waliamua kuchota mavi chooni na kupeleka sebreni hiyo nyumba haiwezi kukalika kamwe, Sasahivi chadema inamongonyoka taratibu,licha mwanzoni walikuwa wakimsingizia Magufuli kuwa ndiye aliyekuwa ananunua wapinzani.
Kama ulishahama si utulie. Mambo ya kurudia uongo sio vizuri.
 
Mbowe kagombea urais 2005

Slaa 2010

Lowasa 2015

Tundu Lissu 2020

Sasa sijajua alipomaanisha urais Mbowe anagombea kila mara anamaanisha nini au alichoandikiwa kusoma hakuandikiwa hayo?
 
Msigwa ana hoja kuliko wanaopingana nae
Demokrasia ndani ya chadema ni 20%
Maisha hayataki democracy wala hayaruhusu hicho kitu.

Angekua na hoja zaidi endapo haya maamuzi angeyafanya kabla ya uchaguzi wa ndani wa CDM, vinginevyo ni msaka tonge kama wengine wote.
 
Back
Top Bottom