citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Soma vizuri historia yake tokea TLP UTAMJUA VIZURI..wanamdhalilisha Msigwa.
..huyu anahitaji kukombolewa.
..Nitaanzisha mchango wa kumkomboa kumsaidia arudishe dau alilolipwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri historia yake tokea TLP UTAMJUA VIZURI..wanamdhalilisha Msigwa.
..huyu anahitaji kukombolewa.
..Nitaanzisha mchango wa kumkomboa kumsaidia arudishe dau alilolipwa.
Huyo ni Udc tu ndio level yake, DED siyo nafasi ya kuhongwa kisiasa, hata ukiwa kada lazima uwe na Cv inayofit wewe kuwa DED hiyo siyo nafasi ya kupiga domo na porojo.Katibu Mkuu Taifa chadema alipewa uDC itakuja kuwa Msigwa aliyeshindwa.
Huyu uDC unamhusu au uDED.
Ukinunua shati jipya wewe ndiye utapanga ulivae siku ya Idd au pasakaPeter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda.
Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala.
Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome.
angalia video hapa chini.
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
View attachment 3031046
Labda hawajafikiwa au hawana madhara...halafu kwanini wananunuliwa Watanganyika tu, Wazanzibari wao hawanunuliwi?
..siasa gani wanafanya?
..huu ni udhalilishaji tu.
..Msigwa tunayemjua na machachari yake ni mtu wa kuamrishwa na kupangiwa nini aseme, tena mbele ya vyombo vya habari?
..ifike mahali Watanzania tukatae siasa hizi za hovyo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=1kLJ_3cJGxE
Nani ana muda na Msigwa tulimpiga Chini kwenye uchaguzi Kanda ya Nyasa. So ni makapi ya kisiasa mmepokea.Vi memo kwenye vikao au during press briefing mbona jambo la kawaida sana, haijalishi nani anaongea, hata Mh. Rais au Waziri Mkuu akiwa anaongea sehemu yoyote hata bungeni anapewa vi memo ili aongezee anachoongea..!! Hakuna tatizo lolote, Mchungaji Msigwa tumempokea CCM, hivyo kupewa ki memo na Makala ni sawa kabisa..!!
Mchungaji Msigwa hayuko Chadema tena, naona Chadema bado hamkubali hali halisi, mmeshapigwa goli moja takatifu sana na Mh. Rais wetu Mama Samia, tuseme ukweli, 2025 Chadema mkipata hata mbunge mmoja, itakuwa bahati sana na mgombea Urais kwa upande wa Chadema akipata hata 5% za kura zitakazopigwa basi atakuwa kajitahidi sana..!!
Nawasihi Chadema, Mchungaji Msigwa mtoeni katika akili zenu, naona bado mnaumia sana, tayari Msigwa ni CCM na anawarushia makombora kama CCM yeyote yule, hivyo acheni dhana labda bado yuko Chadema..!!
Duh! Kwa maana nyingine msigwa ana hadhi kubwa kuliko wanaccm aliowakuta? Mpaka alindwe?Poor since when? Ghafla tu, au wewe ndio ujitizame upya, mwenzako ndio yuko so vema sana na CCM inamlinda kwa hali na mali..!!
Kama ulishahama si utulie. Mambo ya kurudia uongo sio vizuri.Mtajuana wenyewe h
Mtajuana wenyewe hakina Sisi tuliachana na chadema wakati Mbowe na genge lake walipoamua kubadilisha gia angani kwa kulamba matapishi yao wenyewe,tokea hapo niliacha kumwamini mwanasisa wa Tanganyika,Slaa aliwaambia kuwa waliamua kuchota mavi chooni na kupeleka sebreni hiyo nyumba haiwezi kukalika kamwe, Sasahivi chadema inamongonyoka taratibu,licha mwanzoni walikuwa wakimsingizia Magufuli kuwa ndiye aliyekuwa ananunua wapinzani.
Kabisa.wanamdhalilisha Msigwa
Pimbi huyu anajidhalilisha mwenyewe wacha wamgeuze kikaragosi cha Joyce Wowowo wanamchezesha wanavyotaka...wanamdhalilisha Msigwa.
..huyu anahitaji kukombolewa.
..Nitaanzisha mchango wa kumkomboa kumsaidia arudishe dau alilolipwa.
Naunga mkono hoja.Nawashauri CHADEMA watengeneze clip ya hiki kinachofanyika hapa ili wananchi wengine tujue namna waunga juhudi wanavyofundishwa cha kusema!
Njaa haina baunsaTatizo la Msigwa ni madaraka wala hana kingine.
Au angekwenda chama kingine hata ACT au NCCR lakini CCM, ameonyesha ujuha wa hali ya juu sana ngoja sasa wamdhalilisheMsigwa alishindwa Nini kuachana na siasa na kufanya mambo mengine.
Maisha hayataki democracy wala hayaruhusu hicho kitu.Msigwa ana hoja kuliko wanaopingana nae
Demokrasia ndani ya chadema ni 20%