Wakimpa uDC na sisi tunaohangaika na chama tunakesha tunateseka na elimu yetu tunayo watuache tunaishia kupiga makofi, watajua nguvu yetu ya mdomoni na kwenye box la kura. Hatukubali.
Hana nguvu hiyo. Mbona maovu aliyokuwa anasema yako CCM kayafuata. Kachemka! Mwache abebeshwe picha mpaka basi. Kasaini mikataba wa kudhalilisha nafasi yake! Na kama kaenda huko Kwa hasira za kukosa cheo Chadema, yaani usajiri bila malipo imekula kwake, bora awe kalamba posho. Ataaibishwa sana