Hii nguvu Msigwa angeitumia kuieneza injili ya neno la Mungu na kuijenga ufalme wa Mungu duniani na sio kuijenga ccm ambayo imeshafelibkuongoza nchi.Baba Mchungaji atumie muda wake kuinadi ilani ya chama chetu CCM.
Haipendezi yeye kila kukicha anatukana mke alieyetalikiana naye
Mhe. Msigwa wewe unazo ngapi hapo ulipo ili nione nitakuongezea ngapi tulimalize nje ya mahakama.Mchungaji Msigwa leo Ijumaa Septemba 06, 2024 kupitia Jukwaa la Sauti ya Watanzania katika mtandao wa Clubhouse akijibu barua ya Mawakili wa Freeman Mbowe ambayo imemtaka kuomba radhi au ajiandae kulipa faini ya Tsh bilioni 5, amesema haya
āNaichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"
"Sasa mimi niliuliza maswali ya msingi kwa CHADEMA na maswali niliyouliza ni kwamba CHADEMA Digital siyo mali ya CHADEMA, nilitegemea mtu ambaye ana weledi, mtu ambaye anaongoza chama anataka kuchukua nchi ni jambo dogo tu la kusema Msigwa ni muongo, CHADEMA Digital ni mali ya CHADEMA, ikajulikana hadharani. Nilihoji kuwa Mbowe amekuwa akitumia msafara wa magari mengi, mwenzake anaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha. Kwa hiyo masuala yote ambayo ameyaeleza ya kwamba mimi nimemvunjia heshima ni masuala ya kisiasa kwa hiyo nimesikitika kwamba anawezaje kuwa chini kwa kiwango hicho"
Pia soma
Baba ndubwi kayatimbaMchungaji Msigwa leo Ijumaa Septemba 06, 2024 kupitia Jukwaa la Sauti ya Watanzania katika mtandao wa Clubhouse akijibu barua ya Mawakili wa Freeman Mbowe ambayo imemtaka kuomba radhi au ajiandae kulipa faini ya Tsh bilioni 5, amesema haya
āNaichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"
"Sasa mimi niliuliza maswali ya msingi kwa CHADEMA na maswali niliyouliza ni kwamba CHADEMA Digital siyo mali ya CHADEMA, nilitegemea mtu ambaye ana weledi, mtu ambaye anaongoza chama anataka kuchukua nchi ni jambo dogo tu la kusema Msigwa ni muongo, CHADEMA Digital ni mali ya CHADEMA, ikajulikana hadharani. Nilihoji kuwa Mbowe amekuwa akitumia msafara wa magari mengi, mwenzake anaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha. Kwa hiyo masuala yote ambayo ameyaeleza ya kwamba mimi nimemvunjia heshima ni masuala ya kisiasa kwa hiyo nimesikitika kwamba anawezaje kuwa chini kwa kiwango hicho"
Pia soma
Haichekeshi.mboye tungekulipa bilioni 5
tatizo utaenda kuzinywea konyagi zote
sasa si upuuzi huo
unataka uchekeshwe?Haichekeshi.
Nasema hivi, ule utopolo ulioongea hauchekeshi, labda ukamchekeshee mumeo.unataka uchekeshwe?
njoo tukutekenye
unawasili sangapi kwaajili ya kutekenywa?Nasema hivi, ule utopolo ulioongea hauchekeshi, labda ukamchekeshee mumeo.
Tulia we šunawasili sangapi kwaajili ya kutekenywa?
watekenyaji tupo tayari
tunakungoja wewe tu mama
Naungana naye, maana kwa hili mtasikia na abdul kaenda kumshitaki lissu. Kwa hili naungana na msigwa japo simkubali.
Ameanza kulialiašš aombe radhi haraka kama ni UONGO au alipe fidia.Sasa ndugu Msigwa analia nini?
Anaamini siasa ni uongo uongo na kutuhumu watu bila ushahidi wowote?
Hahahh aache ujinga, Mbowe sio mwenzako wewe muuza mitumbaanaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha.
Kama ana ushahidi na aliyoyasema akathibitishe mahakamani.Msigwa anahoja,, chadema imjibu
Baba ndubwi kutwa kucha kusema mh rais kauza nchiā¦Hakuna sheria inaruhusu kumsemea mwenzio uongo kisa siasa. Mh Membe alimshitaki aliyemsemea uongo na mahakama ikaamua hata la Msigwa mahakama iamue ili iwe fundisho kwa wasema uongo kwa wengine.
Kwani Abdul ndiyo nani?Naungana naye, maana kwa hili mtasikia na abdul kaenda kumshitaki lissu. Kwa hili naungana na msigwa japo simkubali.
Hajalalamika⦠amejibuKama ana ushahidi na aliyoyasema akathibitishe mahakamani.
Hakuna haja ya kulalamika lalamika.