Pre GE2025 Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza

Pre GE2025 Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchungaji Msigwa leo Ijumaa Septemba 06, 2024 kupitia Jukwaa la Sauti ya Watanzania katika mtandao wa Clubhouse akijibu barua ya Mawakili wa Freeman Mbowe ambayo imemtaka kuomba radhi au ajiandae kulipa faini ya Tsh bilioni 5, amesema haya

“Naichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"

"Sasa mimi niliuliza maswali ya msingi kwa CHADEMA na maswali niliyouliza ni kwamba CHADEMA Digital siyo mali ya CHADEMA, nilitegemea mtu ambaye ana weledi, mtu ambaye anaongoza chama anataka kuchukua nchi ni jambo dogo tu la kusema Msigwa ni muongo, CHADEMA Digital ni mali ya CHADEMA, ikajulikana hadharani. Nilihoji kuwa Mbowe amekuwa akitumia msafara wa magari mengi, mwenzake anaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha. Kwa hiyo masuala yote ambayo ameyaeleza ya kwamba mimi nimemvunjia heshima ni masuala ya kisiasa kwa hiyo nimesikitika kwamba anawezaje kuwa chini kwa kiwango hicho"


Pia soma
Sasa analialia nini si aende akathibitisha huko mahakamani madai yake?
 
Mchungaji Msigwa leo Ijumaa Septemba 06, 2024 kupitia Jukwaa la Sauti ya Watanzania katika mtandao wa Clubhouse akijibu barua ya Mawakili wa Freeman Mbowe ambayo imemtaka kuomba radhi au ajiandae kulipa faini ya Tsh bilioni 5, amesema haya

“Naichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"

"Sasa mimi niliuliza maswali ya msingi kwa CHADEMA na maswali niliyouliza ni kwamba CHADEMA Digital siyo mali ya CHADEMA, nilitegemea mtu ambaye ana weledi, mtu ambaye anaongoza chama anataka kuchukua nchi ni jambo dogo tu la kusema Msigwa ni muongo, CHADEMA Digital ni mali ya CHADEMA, ikajulikana hadharani. Nilihoji kuwa Mbowe amekuwa akitumia msafara wa magari mengi, mwenzake anaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha. Kwa hiyo masuala yote ambayo ameyaeleza ya kwamba mimi nimemvunjia heshima ni masuala ya kisiasa kwa hiyo nimesikitika kwamba anawezaje kuwa chini kwa kiwango hicho"


Pia soma
20240906_190156.jpg
 
Mchungaji Msigwa leo Ijumaa Septemba 06, 2024 kupitia Jukwaa la Sauti ya Watanzania katika mtandao wa Clubhouse akijibu barua ya Mawakili wa Freeman Mbowe ambayo imemtaka kuomba radhi au ajiandae kulipa faini ya Tsh bilioni 5, amesema haya

“Naichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"

"Sasa mimi niliuliza maswali ya msingi kwa CHADEMA na maswali niliyouliza ni kwamba CHADEMA Digital siyo mali ya CHADEMA, nilitegemea mtu ambaye ana weledi, mtu ambaye anaongoza chama anataka kuchukua nchi ni jambo dogo tu la kusema Msigwa ni muongo, CHADEMA Digital ni mali ya CHADEMA, ikajulikana hadharani. Nilihoji kuwa Mbowe amekuwa akitumia msafara wa magari mengi, mwenzake anaenda na gari moja, alitakiwa aseme tu ni muongo Msigwa, mwenzangu anatumia magari matano au saba, ingelikuwa yameisha. Kwa hiyo masuala yote ambayo ameyaeleza ya kwamba mimi nimemvunjia heshima ni masuala ya kisiasa kwa hiyo nimesikitika kwamba anawezaje kuwa chini kwa kiwango hicho"


Pia soma

Hasara za kuropoka ovyo
Lile rungu la Cyprian Musiba kwa Bernard Membe limemlamba Msigwa,
Kesi ya defamation ina pande mbili tu ulete uthibitisho kuwa Mbowe alifanya, ukishindwa 5B.
Afu wanasheria wa Chadema wanajua sheria utadhani sheria walizianjisha wao,
Mdomo uliponza kichwa 😂😂
 
Ok!, aliyetamka ngorongoro/bandari imeuzwa anastahili kuleta ushahidi kamili, ndiyo maana nasema kesi tamu hii jamani!
 
BWANA FREMAN MBOWE, TAFADHALI NAKUOMBA ACHANA NA HILI JAMBO, POTEZEA UPO UWEZEKANO LIKAFUFUA TAKATAKA ZISIZO NA MSINGI WOWOTE! CHAGUZI UPO MDOMONI
 
Msigwa anahoja,, chadema imjibu
Ataipeleka mahakamani hoja yake + ushahidi na kisha atajibiwa...

By the way, hivi inakuwaje Mch. Peter Msigwa adai publicly kuwa Freeman Mbowe ameanzisha "Freeman Mbowe Foundation" ambayo anaitumia kuibia fedha za chama halafu wakati huohuo haoneshi ushahidi wowote ikiwemo ingalau nakala ya cheti cha usajili wa foundation hiyo ama hata bank statements kuonesha diversions ya pesa za chama kwenda kwenye hiyo foundation....?

Yaani jamaa mchungaji anapayuka maneno matupu tu nawe Kifurukutu na mwenzio Crocodiletooth tena mkiwa na akili zenu timamu kabisa mnamwamini....????

Ooh, please give us a break. Acheni kuwa wapumbavu na wajinga....!!!!
 
Nimecheka sana. Kumbe Msigwa ni zero brain kwenye siasa halafu muoga hivii ..eti Mbowe anaua siasa, ha ha ha siasa ni kuchafua watu?
 
Naungana naye, maana kwa hili mtasikia na abdul kaenda kumshitaki lissu. Kwa hili naungana na msigwa japo simkubali.
Kwani nani kamzuia Abdul kushtaki? Kama kamsingizia kuwa alikwenda kumuhonga itajulikana na kama ni kweli Lissu atatoa ushahidi.
 
Peter kulualia hakutamsaidia kitu! Anachotakiwa ni mwendo wa kuomba radhi tu kama alivyofanya wakati akiwa CHADEMA alipomtukana Kinana! Na ndivyo afanye leo kwa kumuomba radhi Mh. Mbowe kwenye kipindi hiki ambacho Peter yupo CCM.
 
Msigwa anajifanya mjuaji lakini ni mjuaji mjinga. Na kwenye hili, amejitwika furushi la misumari, tena misumari ya bati. Msigwa hawajui CCM, kwenye hili atakuwa pekee yake, asije akadhani itakuwa kesi ya CCM au Serikali dhidi ya Mbowe. Bahati mbaya shutuma zote dhidi ya Mbowe zilikuwa za uwongo, na hataweza kuthibitisha hata moja:

1) Atawezaje kuthibitisha kuwa CHADEMA, chama kilichosajiliwa kama chama cha siasa, ni Saccos ya Mbowe?

2) Atawezaji kuthibitosha kuwa pesa watu wanayolipia kadi za chama na michango mbalimbali kuwa inaingia kwenye account ya Mbowe, wakati pesa hiyo inaingia kwente account ya CHADEMA, trna inayotambulika na hata na msajili wa vyama, na Mbowe siyo signatory wa hiyo account?

3) Msigwa ni mropokaji mjinga. Angekuwa na akili japo kidogo, hata kama ni mropokaji, angechagua mambo ya kuropoka, yale ambayo yana ambiguity ili iwe shida kumdaka kwa kulitia sheria.

Hearsay, ni kwamba huyu mtu, ili akiasi chama chake, alipewa TZS 500m, sasa anatakiwa kulipa 5b, yaani mara 10 ya kile alicholipwa ali akisalito chama chake na kumtukana Mbowe. Hii kwake itakuwa ni biashara kichaa. Je waliomnunua, watamwongezea TZS4.5b ili ajikomboe kwenye hii dhahama?
 
Msigwa anajifanya mjuaji lakini ni mjuaji mjinga. Na kwenye hili, amejitwika furushi la misumari, tena misumari ya bati. Msigwa hawajui CCM, kwenye hili atakuwa pekee yake, asije akadhani itakuwa kesi ya CCM au Serikali dhidi ya Mbowe. Bahati mbaya shutuma zote dhidi ya Mbowe zilikuwa za uwongo, na hataweza kuthibitisha hata moja:

1) Atawezaje kuthibitisha kuwa CHADEMA, chama kilichosajiliwa kama chama cha siasa, ni Saccos ya Mbowe?

2) Atawezaji kuthibitosha kuwa pesa watu wanayolipia kadi za chama na michango mbalimbali kuwa inaingia kwenye account ya Mbowe, wakati pesa hiyo inaingia kwente account ya CHADEMA, trna inayotambulika na hata na msajili wa vyama, na Mbowe siyo signatory wa hiyo account?

3) Msigwa ni mropokaji mjinga. Angekuwa na akili japo kidogo, hata kama ni mropokaji, angechagua mambo ya kuropoka, yale ambayo yana ambiguity ili iwe shida kumdaka kwa kulitia sheria.

Hearsay, ni kwamba huyu mtu, ili akiasi chama chake, alipewa TZS 500m, sasa anatakiwa kulipa 5b, yaani mara 10 ya kile alicholipwa ali akisalito chama chake na kumtukana Mbowe. Hii kwake itakuwa ni biashara kichaa. Je waliomnunua, watamwongezea TZS4.5b ili ajikomboe kwenye hii dhahama?
 
“Naichukulia hii kama kushuka kisiasa kulikopitiliza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, kwa sababu kunidai bilioni 5 ninapofanya shughuli za kisiasa kwanza ni kuiua demokrasia yenyewe ya nchi ambayo pamoja na mapungufu yaliyokuwepo kwenye demokrasia ya nchi lakini bado wanasiasa wengi hasa wa upinzani wametumia uhuru wao wa kuipa changamoto serikali iliyopo madarakani kwa kuishutumu shutuma ambazo kimsingi nyingi hazina uthibitisho, kwamba serikali hii ni ya kifisadi, serikali hii ni ya wezi, serikali hii haileti maendeleo na hivi karibuni hata yeye mwenyewe amediriki kumuambia Mheshimiwa Rais kuwa yeye ni Mzanzibari, ameiuza bandari, hizi ndizo changamoto za kisiasa"
Lipa kwwanza ndipo uanze blabla
 
Back
Top Bottom