Pre GE2025 Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msigwa anahoja,, chadema imjibu
Hapo ana hoja gami zaidi ya kutaka kuonesha kuwa tuhuma zote dhidi ya Mbowe zilikuwa na uwongo, hivyo Mbowe alitakiwa tu kusema kuwa Msigwa ni mwongo? Yeye anadhani watu wote ni wa kuchezea muda wao kama alivyo yeye? Ngoja afundishwe adabu ili ajue kuwa uwongo hauna tija.
 
Anaanza kurudisha mpira Kwa kipa kuanza upya kimakosa.... Aendelee tu kishambulia ... Mbona hii ni shambulizi la kujibu Moja tu (Counterattack Moja tu) ameanza kulia... Aendelee tu kujazwa ujinga aone rangi za CCM halisi.
 
Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau.
Naomba kazi hata ya kujitolea nipatw angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa.

Mimi ni fresh graduate..
Nina degree ya Business IT.
Naweza kufanya kazi za database administration, business analysis, Business Intelligence, Business Process management, customer relationship management..
Pia nipo tayari kufanya kazi yoyote nitakayopewa na kampuni tofauti na mambo niliyosomea.

Nipo Dar es salaam. Ubungo RiverSide.
Mawasiliano; Normal call: 0616604372
Whatsap: 0620224372.
Jamani mnisaidie, sina pakuenda, sina ndugu yeyote anayefanya kazi serikalini walau wa kunisaidia kutafuta hata nafasi ya internship
 
Sawakabisa mchungaji akathibitishe kweli mahakamani
 
Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau.
Naomba kazi hata ya kujitolea nipatw angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa.

Mimi ni fresh graduate..
Nina degree ya Business IT.
Naweza kufanya kazi za database administration, business analysis, Business Intelligence, Business Process management, customer relationship management..
Pia nipo tayari kufanya kazi yoyote nitakayopewa na kampuni tofauti na mambo niliyosomea.

Nipo Dar es salaam. Ubungo RiverSide.
Mawasiliano; Normal call: 0616604372
Whatsap: 0620224372.
Jamani mnisaidie, sina pakuenda, sina ndugu yeyote anayefanya kazi serikalini walau wa kunisaidia kutafuta hata nafasi ya internship
 
Huyu mbwa kwa hiyo anataka kuprove kwamba alikuwa anaongea uongo ili apate milleage ya kisiasa on the price to be paid by Mbowe's damage to his reputation? Akae kwa kutulia jumatatu awahi mahakamani hii sio siasa it was personal attack on Mbowe. Haya ataenda kuyaeleza mahakamani.
 
Lipa hela mzee hakuna utetezi hapo.
Kwamba ni demokrasia umdhalikishe mtu lasi na ukweli?
 
mboye tungekulipa bilioni 5
tatizo utaenda kuzinywea konyagi zote
sasa si upuuzi huo
Ungemlipa ww na nani?
Analipa anayetakiwa kulipa, we tulia uoshe vyombo shemeji atakufukuza kwake bure!
 
Msigwa kama ungeisema Chadema hiyo ni taasisi sidhani kama ingechukua hatua zaidi ya wanaohusika kukujibu kupitia jukwaa,lakini wewe unaswali na mbowe ( mtu) siyo taasisi ndiyo maana amekujibu kwa kutaka kukushitaki. Wapinzani wanaposema serikali ni taasisi siyo mtu au ccm siyo mtu hapo atatokea mwenye wajibu wa kuitetea serikali ataisemea, ataokea wa kuitetea ccm ataisemea . Omba tu radhi yaieshe na katika kusema kwako jikite kwenye taasisi siyo mtu. Eti mchungaji! Ukilisema kanisa katoliki litajibu kupitia jukwaa lakini ukimsema askofu kwa jina ,akikosa uvumilivu atakushitaki tu na utalipa kwa kuumchafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…