Pre GE2025 Peter Msigwa: Msajili wachunguze CHADEMA, wana vikundi vinaitwa ZOO na JOB. Mbowe ni Nkurunziza

Pre GE2025 Peter Msigwa: Msajili wachunguze CHADEMA, wana vikundi vinaitwa ZOO na JOB. Mbowe ni Nkurunziza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aliyekuwa Kiongozi na Mbunge wa Chadema baadaye akahamia CCM Peter Msigwa, amemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa kuchunguza vyama vya Siasa hasa CHADEMA sababu wanafanya vitu nje ya katiba ya chama. CHADEMA wanataka kuvuruga amani.

Nkurunziza(Mbowe) baada ya kuona hakubaliki ndani ya Chama, ameanza ZOO na JOO ili kuhakikisha anabaki Madarakani.

"Mbowe anasema hata akifanya mambo ya hovyo asiangaliwe yeye iangaliwe Katiba ya chama" amesema Msigwa.

Pia soma: Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Anasema Misingi Mikubwa ya chama alichotoka CHADEMA ilikuwa ni Demokrasia, Haki na Uhuru lakini hivyo vitu ndani ya chama havipo. Vinanenwa kwenye Mdomo.

"Ningemuomba Mhe. Mutungi (Msajili wa Vyama Vya Siasa) afuatilie jinsi hivi vyombo vya upinzani vinavyotaka kuleta vurugu katika nchi, vinavyoendesha mambo yao ndani ya vyama vyao, Katiba ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo haifuatwi kabisa, nasema kwa ujasiri mkubwa..." - Ndg. Peter Msigwa

Mchungaji Peter Msigwa amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Viwanja vya Panga Kinondoni. Tarehe 16 Julai 2024. Ziara ya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo Ndugu Amos Makalla.

Msigwa anachotufundisha ni kitu kimoja tutafute pesa nje ya siasa ukiwa na njaa siasa ni utumwa ona anavodhalilika heshima yake yote imepotea kwa vipande vya thumni kifupi Msigwa bila ukngozi hawezi kuishi anatia huruma naa amekwishapotea labda akaajiriwe Asas huko
 
Hivi kama angachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa ukanda wa Nyasa angehama Chama?
Naona mara tu baada ya kuangushwa na Sugu fasta kahamia CCM.
Nchi hii asilimia kubwa ya Wapinzani sio Wapinzani bali wanatafuta fulsa na ajira.
CCM endelea kutawala Hadi akili zitakapo warudia.

RIP. Marehemu Mtikila.
Ndivyo walivyo hawa wachungaji feki. Wanachotafuta ni ulaji tu yaani ni tumbo mbele.
 
Bahati mbaya yake (Msigwa) ni kwamba hapati wateja pamoja na kutumia nguvu kubwa kujiuza
Mteja wake ni "chura kiziwi" yule anayegawa vyeo. Hapo si muda atapewa ukuu wa wilaya au mkoa.
 

Kinachosikitisha ni kwamba, hata wanaCCM wenyewe wanamuona Msigwa kama mtu aliyechanganyikiwa na kupoteza dira, sio wana-CHADEMA pekee.
 
Sasa si atoe taarifa Polisi kama ni mambo ya Usalama? Kawa vuvuzela ...Tangu lini CHADEMA ikawa ni Mbowe...kisiwe chama cha siasa? MUDA WOTE MSIGWA ANATAJA MBOWE ,
KILA AKITAKA KUKIONGELEA CHAMA
 
Hii takataka ina njaa kali sana
Hatuwezi cheo huku kwetu
 
Aliyekuwa Kiongozi na Mbunge wa Chadema baadaye akahamia CCM Peter Msigwa, amemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa kuchunguza vyama vya Siasa hasa CHADEMA sababu wanafanya vitu nje ya katiba ya chama. CHADEMA wanataka kuvuruga amani.

Nkurunziza(Mbowe) baada ya kuona hakubaliki ndani ya Chama, ameanza ZOO na JOO ili kuhakikisha anabaki Madarakani.

"Mbowe anasema hata akifanya mambo ya hovyo asiangaliwe yeye iangaliwe Katiba ya chama" amesema Msigwa.

Pia soma: Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Anasema Misingi Mikubwa ya chama alichotoka CHADEMA ilikuwa ni Demokrasia, Haki na Uhuru lakini hivyo vitu ndani ya chama havipo. Vinanenwa kwenye Mdomo.

"Ningemuomba Mhe. Mutungi (Msajili wa Vyama Vya Siasa) afuatilie jinsi hivi vyombo vya upinzani vinavyotaka kuleta vurugu katika nchi, vinavyoendesha mambo yao ndani ya vyama vyao, Katiba ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo haifuatwi kabisa, nasema kwa ujasiri mkubwa..." - Ndg. Peter Msigwa

Mchungaji Peter Msigwa amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Viwanja vya Panga Kinondoni. Tarehe 16 Julai 2024. Ziara ya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo Ndugu Amos Makalla.

Msigwa achunguzwe afya ya akili,maana hana critical thinking kabisa.
 
Kwa aina hii ya wachungaji "namaanisha wenye tabia kama za Mchungaji Msigwa"...ni ishara tosha kuwa njaa bado ni adui mkubwa Tanzania.
 
Ni kama demu limepigwa chini linabakia kulalamika mitaani - ha ha ha ooh!! mwanaume mchafu, hana hela afu nanihii halichaji...

Kweli nimeamini hela za CCM ni mbaya sana aisee!! mtu unafanywa zuzu kwa muda.
 
Mbowe ataiongoza chadema hata akiwa mahututi kitandani.

Yaani hata akikata moto chadema bado watakua wanakwenda makaburini kumsikiliza anasemaje.
 
Back
Top Bottom