Pre GE2025 Peter Msigwa: Msajili wachunguze CHADEMA, wana vikundi vinaitwa ZOO na JOB. Mbowe ni Nkurunziza

Pre GE2025 Peter Msigwa: Msajili wachunguze CHADEMA, wana vikundi vinaitwa ZOO na JOB. Mbowe ni Nkurunziza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kama demu limepigwa chini linabakia kulalamika mitaani - ha ha ha ooh!! mwanaume mchafu, hana hela afu nanihii halichaji...

Kweli nimeamini hela za CCM ni mbaya sana aisee!! mtu unafanywa zuzu kwa muda.
Hv mshipa wake wa aibu umekatika et?
 
Binafsi najiuliza ,haya ndo yamemfanya kukimbia huko aliko ? Kama ndivyo na kweli anayaishi yale anayomsema mwenyekiti Mbowe kwa nini alichukua form ya kugombea uenyekiti wa kanda ? Na je kabla ya kuchukua form haya ayasemayo yalikuepo ? kama ndio kwa nini alitaka kupaki ndani ya chama husika pitia uwenyekiti wa kanda

Watu wa aina hii ,hata huko alipoamia lazima kuwa makini nao
Hata huyu Mbowe cku akipokonywa uenyekiti mtashangaa atakavyoisagia CHADEMA.
 
Msigwa ni mtu mdogo sn hii nchi kinacho muuma ni kutoka CHADEMA kwenda CCM halafu ikawa story ya masaa tu
 
Msigwa wa ukweli alikuwa CHADEMA huyu wa sasa ni mganga njaa aliyekimbilia CCM kutafuta teuzi. kama CHADEMA kuna matatizo vyama vya upinzani ni vingi, kama siyo njaa imemubana kwa nini asihamie kwenye vyama vingine vya upinzani isipokuwa kahamia CCM kwenye ulaji?.
 
Uyunae niziro brain kabisa, kilasiku chadema chadema, that means hana kitukingine chamaana chakuongea, siasa za kipumbavu sana hizi, nikama tundu tu anavyo pambana kumtaja Magu kwenye kila mkutanowake.

Poor thinking capacity.
 
Aliyekuwa Kiongozi na Mbunge wa Chadema baadaye akahamia CCM Peter Msigwa, amemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa kuchunguza vyama vya Siasa hasa CHADEMA sababu wanafanya vitu nje ya katiba ya chama. CHADEMA wanataka kuvuruga amani.

Nkurunziza(Mbowe) baada ya kuona hakubaliki ndani ya Chama, ameanza ZOO na JOO ili kuhakikisha anabaki Madarakani.

"Mbowe anasema hata akifanya mambo ya hovyo asiangaliwe yeye iangaliwe Katiba ya chama" amesema Msigwa.

Pia soma: Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Anasema Misingi Mikubwa ya chama alichotoka CHADEMA ilikuwa ni Demokrasia, Haki na Uhuru lakini hivyo vitu ndani ya chama havipo. Vinanenwa kwenye Mdomo.

"Ningemuomba Mhe. Mutungi (Msajili wa Vyama Vya Siasa) afuatilie jinsi hivi vyombo vya upinzani vinavyotaka kuleta vurugu katika nchi, vinavyoendesha mambo yao ndani ya vyama vyao, Katiba ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo haifuatwi kabisa, nasema kwa ujasiri mkubwa..." - Ndg. Peter Msigwa

Mchungaji Peter Msigwa amesema hayo akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kawe Viwanja vya Panga Kinondoni. Tarehe 16 Julai 2024. Ziara ya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo Ndugu Amos Makalla.

Ila wanasiasa...😃

Kama yeye siyo mwanachama wa CHADEMA mambo ya CHADEMA yanamwuma nini?
 
Hivi kama angachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa ukanda wa Nyasa angehama Chama?
Naona mara tu baada ya kuangushwa na Sugu fasta kahamia CCM.
Nchi hii asilimia kubwa ya Wapinzani sio Wapinzani bali wanatafuta fulsa na ajira.
CCM endelea kutawala Hadi akili zitakapo warudia.

RIP. Marehemu Mtikila.
Mimi huwa nasema hakuna Upinzani wala Demokrasia ya kweli Tanzania
 
Back
Top Bottom