Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

Anazidi kuitangaza chadema ina maana na Yeye huyu Msigwa kawa Mwehu kiasi hiki? Hojq za kitaifa kaziacha alikotoka kule kaenda kuwa rofa tu. Usaliti ni mbaya sana.
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe,Mbowe amewahi kusema chadema ni mbowe na mbowe ni chadema,Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini,wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwa nini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
mpuuzi huyo,
 
Mimi siikubali chadema..lakini ujinga anaoongea huyu mzee ndio unachefua kabisa..
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe,Mbowe amewahi kusema chadema ni mbowe na mbowe ni chadema,Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini,wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwa nini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Si muda mrefu wachaga watafumuka kutoka pande nne za dunia kujibu mapigo
 
halafu huyu alikuwa mchungaji kweli? Bora alivyoingia katika siasa na kuacha kanisa. maana inaelekea alikuwa zaidi ya Kbwetere katika uzeeni kwake
 
Mimi nafikiri hata akisema yote ya CHADEMA haiwezi kuleta negative impact kwa Chama!
Changamoto iliyopo Watanzania wengi wanajua hayo yote ni majungu tu yanayotokana na nia ya kukipiga vita Chama hata kama yana ukweli.
Angehamia chama kingine kisicho CCM huenda angeeleweka!
Changamoto nyingine kama Mbowe ndiyo mwenye hela ya kuendesha Chama (kama tunavyosikia) wakubali tu!
Maana mimi sioni kama chama kina vyanzo vingine vya hela mbali na kunategemea ruzuku!
 
Hivi CDM kuwa mali ya Mboe na Mboe kugombea kila muhula vimeanza baada ya Msigwa kushindwa uchaguzi? Mbona hakuondoka Zaidi ya miaka 20 iliyopita km anachotuambia ni kweli. Jamaa mpuuzi sana huyu. Anatapatapa kwa wanunuzi wake ili naye apewe Kamba apate kula japo kidogo kwa urefu wa Kamba yake. Hakuna wa kumjali mjinga mmoja huyo.
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe,Mbowe amewahi kusema chadema ni mbowe na mbowe ni chadema,Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini,wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwa nini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Atasema yote hata alivyovuliwa chupi.
 
Hapo CDM inabidi uwe nyumbu ndo utaishi vizuri usijaribu kuonyesha unataka kuwa mwenyekiti wa chama
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe,Mbowe amewahi kusema chadema ni mbowe na mbowe ni chadema,Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini,wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwa nini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
TATIZO HUYU JAMAA KILA ANACHOSEMA ANAANDIKIWA NA MACCM HAKITOKI KICHWANI MWAKE
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe,Mbowe amewahi kusema chadema ni mbowe na mbowe ni chadema,Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini,wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwa nini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Huyo sasa anatapatapa😗

Kitu kinachomstua Msigwa ni Kwa Yale mabaya anayoongea kuhusu Chadema, anakuta hakuna anayemjibu
 
Ujumbe ameandika km anakimbizwa bwana, hebu tulia utuletee ujumbe kwa utuliv, punguza papara.
 
Back
Top Bottom