Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe

Muendelezo wa ujinga Tanzania...

Huyu ndiye mtu aliywahi kuitaja falsafa sahihi kabisa kwamba, "huwezi kutumia akili ile ile kutatua tatizo lile lile", sasa naye anatumia akili ile ile kutaka kutatua tatizo kwa mbinu zile zile zilizomshinda huko Chadema...
 
Huyo andunje ni a fool in blood.Ningeandika "bloody fool" ungedhani nimemtusi.Ajifunze kushukuru na kuficha mambo yake ya familia.Akianikwa ajizibe na kisepe.
Hahaha dah...

Nina uhakika kuna siku Lissu mtamnenea haya pia...

Huyo Mbowe mnayefikiri hana tatizo, ndio tatizo lenyewe.
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Aendelee na kazi yake mpya ya kutembeza picha za Samia
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Kwahiyo na wewe miaka yote uliyokuwa unatuwakilisha huko Bungeni ulikuwa unatutapeli tu ili tukuchague ilihali unajua kuwa kumbe Chadema ni kama kampuni tu ya mtu binafsi na familia yake ???!

Mimi nadhani hii maneno yote mbofu mbofu kutoka Chadema ni kwa sababu ya ile rumor kwamba kuna mtu amepata buyu la Asali na analilamba peke yake 😳😅😂

Hatari sana 😅 ama kweli wahenga walishasemaga tangu zamani sana kwamba “ Penye udhia penyeza rupia “

Kanuni au sheria zinasema mtenda kosa na yule anayelificha hilo kosa wote ni wahalifu tu !

WanasiHasa wanatuchanganya Akili kwakweli. !
Au nasema uongo nduguzanguni ???!!
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Niliwai kusema hapa kuhusu mbowe haya maneno nikaambulia kupugwa BAN ....Kuwa mbowe anasenaga yeye na pesa nikama chupi na tak"o.....kuwa awezi kuachia pesa hata iwe haramu kiasi gani? Pia ninaendelea kusema kuhusu mbowe kuwa ukitaka kumchafua mbowe wewe taja tu jina la ben saa8 anaweza hata kukuchapa makofi ataki kabisa kusikia hilo jina ...kwake ni uchafu..watu wananiona mpuuzi ninapo sema haya maneno mbowe ni jambalika muhuni kati ya wahuni....kumwambini mbowe ni sawa na kuwa amini KIKWETE NA SAMIA NA ROSTAM AZIZI
 
Hahaha dah...

Nina uhakika kuna siku Lissu mtamnenea haya pia...

Huyo Mbowe mnayefikiri hana tatizo, ndio tatizo lenyewe.

Mbona Cheyo, Lipumba, Hashimu, Duva etc hawasenwi kwa uwnyekiti wa miaka mingi??? Ukikosa jibu juwa kwamba Mbowe ni threat kwa CCM na ameshindikana kuwa kikaragosi wao.
 
Hakuna kitu kibaya kama njaa ikihamia kichwani lazima cd is scratch mpaka hadhira iangue kicheko

Mchungaji anasumbuliwa na njaa tu
 
Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.

Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.

Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.

Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
 
Kuna watu watakuja kumwelewa Msigwa in a hard way na kwa kuchelewa sana...

Anachokisema mchungaji ndio ukweli wenyewe...

Kwa sasa endelea kumtukana...
Vipi yakisemwa ya huko alikokimbilia?
 
Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.

Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Mbowe hana tofauti yoyote na mitume feki kina mwamposa ..kakobe ..gamanywa ..ngwajima nk kazi yake ni kutumia ujinga na upumbavu wa watu kujitajirisha yeye na familia yake chadema kilikufa siku nyingi kuanzia 2013
 
Mbona Cheyo, Lipumba, Hashimu, Duva etc hawasenwi kwa uwnyekiti wa miaka mingi??? Ukikosa jibu juwa kwamba Mbowe ni threat kwa CCM na ameshindikana kuwa kikaragosi wao.
Hahaha Mbowe ni threat kwa CCM?

Labda kama uko nje ya Tanzania na hufuatulii siasa za nchi hii...

Kwa yeyote mwenye logical thinking lazima ajue Mbowe yupo kwa maslahi ya CCM...

Threat ya CCM kwa sasa ni Lissu...

Mbowe, Zitto, Lipumba, na wenzao ni CCM...
 
Hebu tuwekee hapa ushahidi wa kavideo au sound clip tusikie mkuu Mbowe akitamka hayo
Ushahidi wa nini wewe kamuulize mwenyewe ...muulize je anaweza kuachia pesa impite kwa sababu ya uzalendo utasikia jibu lake ....atakuambia kuacha pesa ni laana...au watafute wale mademu zake covid 19 ongea nao kwa siri watakujulisha mbowe ni nani?
 
Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.

Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Inaonekana upo upande wa Msigwa na umeshiriki kuhamisha hiyo kichwa ikatumike kubeba picha ya mama
Screenshot_20240807-144237.png
 
Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.

Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Apunguze mipasho,afaNye kazi ya kilichompeleka huko

Ova
 
Back
Top Bottom