CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Jibu swali hili, jee Msigwa angeshinda uchaguzi ule angekuwa CCM leo na jee haya anayoyasema sasa angeyasema?Nyinyi watukanaji hamuwezi kumwelewa yeyote zaidi ya Mbowe...
Maana ndio products zake...
Hata Lissu mmeanza kumtukana kisa ukweli...
hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe
Hahaha dah...Huyo andunje ni a fool in blood.Ningeandika "bloody fool" ungedhani nimemtusi.Ajifunze kushukuru na kuficha mambo yake ya familia.Akianikwa ajizibe na kisepe.
Msigwa ameanza kusema kabla ya uchaguzi.Jibu swali hili, jee Msigwa angeshinda uchaguzi ule angekuwa CCM leo na jee haya anayoyasema sasa angeyasema?
Aendelee na kazi yake mpya ya kutembeza picha za SamiaChadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Kwahiyo na wewe miaka yote uliyokuwa unatuwakilisha huko Bungeni ulikuwa unatutapeli tu ili tukuchague ilihali unajua kuwa kumbe Chadema ni kama kampuni tu ya mtu binafsi na familia yake ???!Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Niliwai kusema hapa kuhusu mbowe haya maneno nikaambulia kupugwa BAN ....Kuwa mbowe anasenaga yeye na pesa nikama chupi na tak"o.....kuwa awezi kuachia pesa hata iwe haramu kiasi gani? Pia ninaendelea kusema kuhusu mbowe kuwa ukitaka kumchafua mbowe wewe taja tu jina la ben saa8 anaweza hata kukuchapa makofi ataki kabisa kusikia hilo jina ...kwake ni uchafu..watu wananiona mpuuzi ninapo sema haya maneno mbowe ni jambalika muhuni kati ya wahuni....kumwambini mbowe ni sawa na kuwa amini KIKWETE NA SAMIA NA ROSTAM AZIZIChadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Hahaha dah...
Nina uhakika kuna siku Lissu mtamnenea haya pia...
Huyo Mbowe mnayefikiri hana tatizo, ndio tatizo lenyewe.
Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Hebu tuwekee hapa ushahidi wa kavideo au sound clip tusikie mkuu Mbowe akitamka hayo.Kuwa mbowe anasenaga yeye na pesa nikama chupi na tak"o.....kuwa awezi kuachia pesa hata iwe haramu kiasi gani?
Vipi yakisemwa ya huko alikokimbilia?Kuna watu watakuja kumwelewa Msigwa in a hard way na kwa kuchelewa sana...
Anachokisema mchungaji ndio ukweli wenyewe...
Kwa sasa endelea kumtukana...
Mbowe hana tofauti yoyote na mitume feki kina mwamposa ..kakobe ..gamanywa ..ngwajima nk kazi yake ni kutumia ujinga na upumbavu wa watu kujitajirisha yeye na familia yake chadema kilikufa siku nyingi kuanzia 2013Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.
Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Sema yote sasa tuyajue
Hahaha Mbowe ni threat kwa CCM?Mbona Cheyo, Lipumba, Hashimu, Duva etc hawasenwi kwa uwnyekiti wa miaka mingi??? Ukikosa jibu juwa kwamba Mbowe ni threat kwa CCM na ameshindikana kuwa kikaragosi wao.
Ushahidi wa nini wewe kamuulize mwenyewe ...muulize je anaweza kuachia pesa impite kwa sababu ya uzalendo utasikia jibu lake ....atakuambia kuacha pesa ni laana...au watafute wale mademu zake covid 19 ongea nao kwa siri watakujulisha mbowe ni nani?Hebu tuwekee hapa ushahidi wa kavideo au sound clip tusikie mkuu Mbowe akitamka hayo
Inaonekana upo upande wa Msigwa na umeshiriki kuhamisha hiyo kichwa ikatumike kubeba picha ya mamaWengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.
Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Kinana na Nape wakiamua kusema yote tutaikimbia CCM
Apunguze mipasho,afaNye kazi ya kilichompeleka hukoWengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.
Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.