Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Umeandkia "mbowe anasemaga" sasa tuonyeshe aliposemaUshahidi wa nini wewe kamuulize mwenyewe ...muulize je anaweza kuachia pesa impite kwa sababu ya uzalendo utasikia jibu lake ....atakuambia kuacha pesa ni laana...au watafute wale mademu zake covid 19 ongea nao kwa siri watakujulisha mbowe ni nani?
Wewe bibi makobazi unatuchukia wachaga tu kumbaf. Ulisema nini? Lini? Wapi?Wengine tumeyasema siku nyingi hayo, lakini hatueleweki. Labda useme wewe Msigwa, aje na Tunfu Lissu ayabwage wazi.
Naamini kuna mengi sana wajinga ndiyo waliwao hawataki kuyafahamu.
Neno la Mungu linasema"Mpende adui Yako kama unavojlpenda mwenyewe"halafu huyu alikuwa mchungaji kweli? Bora alivyoingia katika siasa na kuacha kanisa. maana inaelekea alikuwa zaidi ya Kbwetere katika uzeeni kwake
Wakiyasema yote Tanzania itatengwa na duniaHata Kinana na Nape wakiamua kusema yote tutaikimbia CCM
Hapa unajaribu kutuambia Chadema ni ya Wachagga sio?Wewe bibi makobazi unatuchukia wachaga tu kumbaf. Ulisema nini? Lini? Wapi?
Wapi, nini, lini?
Kwani wewe nimekutaja wapi mbona unadandia dandia tu. Utapata mimbaHapa unajaribu kutuambia Chadema ni ya Wachagga sio?
Maana hakuna sehemu yeyote Faiza amewataja...
Amekabidhiwa kitengo cha siasa za majitakaHuyo Hana jipya.
Teh teh...Kwani wewe nimekutaja wapi mbona unadandia dandia tu. Utapata mimba
Alipo sema si mdomoni au ulitaka nikuonyeshe nini tena ...kwani nimekuambia aliandika mahali? Wewe n mnunulia konyagi tu na mtafutie chupa la asali huone kama ana kunywaga asali au la ?...Umeandkia "mbowe anasemaga" sasa tuonyeshe aliposema
Yatafanya hiki alichokisema kiwe haramu?Vipi yakisemwa ya huko alikokimbilia?
Hi nalooo litaishaaa tuuu tuu maana Taifa let linawahitaji CHADEMA kuliko ACT,CUF,etcChadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Mungu aliwaumbua Wanachama njaa wote enzi za Magu. Kumbe wengine walibaki.Nani kamkataza asiseme yote? Aseme yote anayoyajua. Huyu alikuwa CHADEMA kwaajili ya njaa.
Hii ni kwa wanawakw wahuni wasio na aibu. Anamsingizia akidhani anamkomesha kumbe mwenzake Life linaendelea na wala hana habariMwanamke akiachana na mume wake haishangazi kusikia akiwambia watu et yule mumewe alikuwa akimlala kinyume na maumbile, bila kujua hata yeye anajidhalilisha!
Ndio aende sisiemu mchungaji jamani alitakiwa apambane hata kama sio kiongozi mbona anakuja kuijenga sisiemu bila kua kiongozi? Kifupi mchungaji ni mchumia tumbo na tapeli wakisiasa ambae hana shughuli zamaana zakiuchumi pia hana taaluma yoyote amaefanya siasa kama full-time job angeenda kujiunga TLP akajenge misingi anayoiona inafaa.Ila kwa sisiemu mchungaji asitupangeChadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli watanzania kwa maneno ya uongo,Chadema ni biashara ya mbowe wala hakuna nia ya mabadiliko utapeli tu.
Chadema ipo taabani na imepasuka,ninaposema Chadema imepasuka vipande viwili namaanisha kweli tupu,ukiuliza kwa nini Kamati kuu na halmashauri kuu wanaendelea kukaa vikao licha ya mpasuko,ukweli ni kwamba,vikao vya chama vinafanyika kwa sababu ya vigezo vya kuviziana kwenye kipengele cha kutohudhuria vikao vitatu unafukuzwa,hakuna unit wala organization na huu ndio ukweli mchungu,Ukiniuliza kwa nini niligombea Kanda ya Nyasa kuwa Mwenyekiti wake,dhima ilikuwa ni kuleta mabadiliko kutokea ndani ya chama,nikiwa ndani ya kamati kuu na halmashauri kuu ila wahuni walinizidi akili wakaiba,wengi wanasema nimepigwa za uso na Sugu hilo si kweli,wengi wanasema nilikuwa natumika na Chadema na sasa CCM inamitimia,niseme tu kama nilitumika na Chadema na chama kikastawi sasa mnaona shida gani nikitumika na CCM !? hivi kipi bora kutumika na taasisi imara ya CCM au kutumika na Chadema ambayo ni biashara ya familia ya Mbowe,nimestuka stukeni.
Mbowe kila uchaguzi anagombea Uenyekiti,matakwa ya Mbowe ni kutaka nafasi zote mbili kwa wakati mmoja ni jaribio lingine la kutaka kuifanya Chadema kuwa familia yake ila ukweli ni kwamba katiba ya Chadema haijawahi kuwa na utaratibu wa aina hiyo, labda Mbowe mwenyewe atoe ufafanuzi ni vipi itawezekana yeye kugombea Uenyekiti kila uchaguzi na kushindwa,kwenye maelezo hayo yote, kwa asiyeijua siasa, hawezi kuelewa dhima ya ujumbe huu,lakini kwa wale wanaoijua siasa,mtego upo hapa tujiulize na tujitafakarishe na *kwa nini Mbowe amekuwa akigombea miaka yote hii? tumuulize Mheshimiwa Mbowe mwenyewe.*hii maana yake ni nini? kumbe yale maneno ya baadhi ya watu kwamba wana-Chadema ndio wanamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti ni ya uongo,wana Chadema hawajui hilo, mimi naamini Mbowe mwenyewe ndio anajua ni kwa nini kila uchaguzi anagombea Uenyekiti.
Msigwa tangu aende huko ni vijembe... Haji na factsSana sana ananikumbusha ule ugomvi wa Utotoni ...... nitakupiga mimi, nitakupiga mimi, nitakupiga mimi ...!!