Peter Msigwa: Wenje ni Muongo, nitatoka na ushaidi mzito kuhusu wewe ili Watanzania wajue ulivyo mjinga

Peter Msigwa: Wenje ni Muongo, nitatoka na ushaidi mzito kuhusu wewe ili Watanzania wajue ulivyo mjinga

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Pia, Soma: Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue.
IMG_20250116_132350.jpg
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Kwa nini WENJE?

Mbonaanajiamini sana kwenye project ya kuisambaratishaCHADEMA?
 
Na wewe tulia huko huko kwa mumeo mpya...kimekuwasha nini mzee?? au na wewe ulikuwemo kwenye kampeni za mapinduzi eti mkaita Join the chain binadamu bana.
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Safi sana Wenje. Shikilia hapo hapo. Bora mgawane Mbao kuliko kumuachia Lissu Chama.
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Naona hapo tatizo hapa lipo CCM, mnakuwaje na mtu saa zote anashambuliana na chama alichotoka halafu bado mnamwacha tu kuonekana adui mmoja amejificha ndani ya kijani?

CCM mnamtuma huyu mtu wa Njombe ambaye ndio aliongoza kuandika kwenye mawe kwamba "Mbowe sio Gaidi na Free Ben Saanane kwenye barabarani ya kuelekea Iringa mjini yote?

Je, mlisikia Nyalandu au Sumaye alikuwa anatumia media kuwananga wanaCCM wakati alipohamia CDM?


Narudia mchango niliowahi kuuchangia humu kwamba kinachotokea CDM sasa hivi kitatokea pia ndani ya CCM kati ya 2025-2027 na watakuwa na mgogoro mkubwa sana ambacho kama rais aliyepo madarakani atashinda atatamani kuachia ngazzi. Msigwa hawajengi chochote ispokuwa anatengeneza 'precedence' ya karma ndani ya CCM.....period.!
 
Back
Top Bottom