Peter Msigwa: Wenje ni Muongo, nitatoka na ushaidi mzito kuhusu wewe ili Watanzania wajue ulivyo mjinga

Peter Msigwa: Wenje ni Muongo, nitatoka na ushaidi mzito kuhusu wewe ili Watanzania wajue ulivyo mjinga

Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Jaluo kayatimba kudadadadeq
 
Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Sisi tunataka aliyeshikilia hela za Join the Chain, hayo mengine mtajuana. Kwa hiyo Msigwa unatuambia wewe na Heche mmoja wenu ndio anazo hela za Join the Chain, na sio Lema?
 
Wenje akihojia na Charles William wa Wasafi alisema hakuna tatizo la yeye kuwa na urafiki na watu wa CCM na akataja mfano wa kaka ake TAL kuwa mwana-CCM.

Wenje kwenye press conference leo anahoji iweje TAL na Lema wana rafiki (Peter Msigwa) mwana-CCM.

Sasa ndugu Wenje tuambie moja basi, mtu wa Chadema kuwa na rafiki CCM ni kosa au sio kosa? Usituchanganye ndugu watazamaji.
Wenje anazidi kumuingiza Mbowe kwenye matatizo. Hilo buyu atakalopasua Lemma na Msigwa anaweza akakimbia nchi.
 
Waliokula hela za join wanaanza kujitokeza mmoja mmoja, na wote wameitisha press conference
 
Msigwa aliwahi sana ku surrender ... ngoma ingenoga sana akiwa ndani kuliko huko nje, au kama vipi arudi tu kwa dharura
Nimecheka sana..... Arudi kwa hati ya dharura..... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hatukutegemea kufika huku kabisa yani, ila wakivuka salama hapa watakua wamekomaa sawasawa
uko sahihi gentleman,
lakini kwa aina ya watu wenyewe na style ya uvuanaji nguo inayoendelea miongoni mwao, sidhani huu moto wa siasa kama utazimika, nadhani utaendelea hata baada ya uchaguzi wao 🐒
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Pia, Soma: Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue.
Kwenye hili la Join the Chain ipo kazi. Ila Msigwa hata aseme nini simuamini.

Amandla...
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Pia, Soma: Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue.
Wenje ukimuona tu utajua ni muongo, Kitendo Cha kukiri ni rafiki wa abdul Mimi Sina Imani naye kamwe...
 
Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.

Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.

Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.

Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Peter Msigwa ni nani alichukuwa jukumu la kusimamia fuko la ukusanyaji pesa za 'Join the Chain' March 2022 baada ya kukamatwa Mbowe Julai 2021?
NUKUU
Mbowe alikamatwa na kutangazwa tarehe 23 Julai 2021 huko jijini Mwanza kwa tuhuma za kupanga njama kufanya ugaidi Tanzania.
"...
https://www.facebook.com/sharer.php...hikiliwa-na-jeshi-la-polisi-tuhuma-za-ugaidi/
Jeshi la Polisi limesema Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anashikiliwa kwa tuhuma za kula njama ya kufanya vitendo vya kigaidi ikiwepo kuua Viongozi wa Serikali ambapo wenzeka 6 walishafikishwa Mahakamani.
Kama ilivyo kwa baadhi ya Watu kucheza na nyakati na matukio akaona ni vyema akimbilie Mwanza kwa kigezo cha kongamano la Katiba Mpya ili akikamatwa Umma uamini amekamatwa kwasababu hiyo”- Jeshi la Polisi
‘Hata hivyo uchunguzi unaendelea kule Mwanza kutokana na vitendo vya uvunjifu wa amani, ukibaini kuna sheria aliyovunja hatutasita pia kumfikisha Mahakamani pamoja na Viongozi wenzake wanaoshikiliwa kule-Jeshi la Polisi..."


Kama Lissu and Lema walikuwa ughaibuni na wewe pamoja na Heche mkabaki mlisimamiaje michango ya wapenzi wa CDM kwenye 'Join the Chain' na mhazini alikuwa nani?

Je mlisomewa taarifa ya makusanyo kabla ya Mbowe kutolewa gerezani 2023?



Join the Chain
1737028644960.png

1737028709354.png

1737028839594.png

1737028919664.png

1737028974130.png

1737029598649.png

1737029679694.png

1737029728242.png
 
Back
Top Bottom