Nawashangaa wote walioshindwa kushtukia utapeli wa mbowe kwa aliyofanya 2015.Utasikia...Kunja ngumi ...kunja ngumii...piiipooo.......pawaaaaaa. Kumbe walitufanya fursa wenzetu wanakunja mpunga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashangaa wote walioshindwa kushtukia utapeli wa mbowe kwa aliyofanya 2015.Utasikia...Kunja ngumi ...kunja ngumii...piiipooo.......pawaaaaaa. Kumbe walitufanya fursa wenzetu wanakunja mpunga tu.
Ahadi ya mlungula. Au tunaita sabuni ya RohoKwa nini WENJE?
Mbonaanajiamini sana kwenye project ya kuisambaratishaCHADEMA?
Jaluo kayatimba kudadadadeqKatika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.
Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.
Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Sisi tunataka aliyeshikilia hela za Join the Chain, hayo mengine mtajuana. Kwa hiyo Msigwa unatuambia wewe na Heche mmoja wenu ndio anazo hela za Join the Chain, na sio Lema?Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Huyo ni nyumbu wa SultanUmesoma maelezo yake au umekurupuka tu, maana haya maswali yako yanajibiwa na maelezo hapo juu
Wenje anazidi kumuingiza Mbowe kwenye matatizo. Hilo buyu atakalopasua Lemma na Msigwa anaweza akakimbia nchi.Wenje akihojia na Charles William wa Wasafi alisema hakuna tatizo la yeye kuwa na urafiki na watu wa CCM na akataja mfano wa kaka ake TAL kuwa mwana-CCM.
Wenje kwenye press conference leo anahoji iweje TAL na Lema wana rafiki (Peter Msigwa) mwana-CCM.
Sasa ndugu Wenje tuambie moja basi, mtu wa Chadema kuwa na rafiki CCM ni kosa au sio kosa? Usituchanganye ndugu watazamaji.
Halafu akamamatwa Julai 2022 akawaachia wadogo zake Lema, Lissu na Msigwa wakazilamba pesaNgoja tukusaidie
Mwenyekiti Alikua anajua na ndo maana alipotoka ali Join kama picha zinavyonyesha hapo na pesa ilikua inaingia kwenye akaunt za chama, ambazo mwenye mamlaka nazo ni MwenyekitiView attachment 3203535View attachment 3203536
jamaa wanakurupushana na kuumbuana uovu wao kwa mipasho ya taarabu za kisiasa kwa namna ya tofauti sana aise dah 🐒Mkuu naona leo roho kwatu! Ukiona nyumba ya jirani moto unawaka😀😛😛
Hatukutegemea kufika huku kabisa yani, ila wakivuka salama hapa watakua wamekomaa sawasawajamaa wanakurupushana na kuumbuana uovu wao kwa mipasho ya taarabu za kisiasa kwa namna ya tofauti sana aise dah 🐒
Huyu mzee kweli kachoka, hivi aliona wenje ndio anafaa kuwa makamu wake? Ni aibu sana.Hivi kwann Mbowe ameamua Kukubalia Wenje , ndio awe mshawishi wake Mkuu?.
Nimecheka sana..... Arudi kwa hati ya dharura..... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Msigwa aliwahi sana ku surrender ... ngoma ingenoga sana akiwa ndani kuliko huko nje, au kama vipi arudi tu kwa dharura
uko sahihi gentleman,Hatukutegemea kufika huku kabisa yani, ila wakivuka salama hapa watakua wamekomaa sawasawa
Kwenye hili la Join the Chain ipo kazi. Ila Msigwa hata aseme nini simuamini.Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.
Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Pia, Soma: Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA
Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.
Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue.
Bora Nape brooWenje kwa kumuangalia tu unamuona ni kilaza.
Wenje moja kwa moja namfananisha na Nape.
Wenje ukimuona tu utajua ni muongo, Kitendo Cha kukiri ni rafiki wa abdul Mimi Sina Imani naye kamwe...Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.
Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Pia, Soma: Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA
Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.
Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue.
Peter Msigwa ni nani alichukuwa jukumu la kusimamia fuko la ukusanyaji pesa za 'Join the Chain' March 2022 baada ya kukamatwa Mbowe Julai 2021?Katika maisha yangu ya kufahamiana mpaka tukawa marafiki sikuwahi kujua kuwa Wenje ni Muongo.
Wakati wa join the chain Lema wenje na Lissu walikuwa Nje ya nchi, Mbowe alikuwa gerezani. Tulibaki mimi na John Heche.
Tulihamasisha kukusanya fedha kwa ajili ya Baraza kuu kwa kuwa msajili alitishia kukifuta chama ,
Wala sio kufanya mapinduzi.
Kwa kuwa umetaja jina langu, nitatoka na ushahidi mzito kuhusu wewe ili watanzania wajue ulivyo mjinga..
Siko kwenye chama chenu, lakini nitaweka mambo sawa kuwasaidia watu wakujue..View attachment 3203507
Wenje ni kama Lucas Mwashambwa anaweza kusifia hata kinyesi akiamua.Wenje ukimuona tu utajua ni muongo, Kitendo Cha kukiri ni rafiki wa abdul Mimi Sina Imani naye kamwe...