Peter Msigwa: Wenje ni Muongo, nitatoka na ushaidi mzito kuhusu wewe ili Watanzania wajue ulivyo mjinga

Chadema inazidi kuvurugwa..

Mbowe hakwepi lawama kwa hili.

Quinine zitto junior Fundi Mchundo
 
Mapinduzi yamefeli. Weye ccm hatukusikilizi tena
 
Swali moja tu kwako Peter Msigwa:
Je Mwenyekiti Mbowe alijua kwamba mnakusanya pesa za Join the Chain kuitisha mkutano wa Baraza kuu na baadaye Mkutano Mkuu akiwa huko huko gelezani?
Mlimdokezea na akawapa baraka zote muendelee na mpango huo wewe na wenzako
 
Na wewe tulia huko huko kwa mumeo mpya...kimekuwasha nini mzee?? au na wewe ulikuwemo kwenye kampeni za mapinduzi eti mkaita Join the chain binadamu bana.
Umesoma maelezo yake au umekurupuka tu, maana haya maswali yako yanajibiwa na maelezo hapo juu
 
Umesoma maelezo yake au umekurupuka tu, maana haya maswali yako yanajibiwa na maelezo hapo juu
Swali moja tu kwako Peter Msigwa:
Je Mwenyekiti Mbowe alijua kwamba mnakusanya pesa za Join the Chain kuitisha mkutano wa Baraza kuu na baadaye Mkutano Mkuu akiwa huko huko gelezani?
Mlimdokezea na akawapa baraka zote muendelee na mpango huo wewe na wenzako
 
Ngoja tukusaidie

Mwenyekiti Alikua anajua na ndo maana alipotoka ali Join kama picha zinavyonyesha hapo na pesa ilikua inaingia kwenye akaunt za chama, ambazo mwenye mamlaka nazo ni Mwenyekiti
 
Wenje ubarikiwe umetusaidia sana kuwaelewa hawa jamaa nia yao.
 
Wenje akihojia na Charles William wa Wasafi alisema hakuna tatizo la yeye kuwa na urafiki na watu wa CCM na akataja mfano wa kaka ake TAL kuwa mwana-CCM.

Wenje kwenye press conference leo anahoji iweje TAL na Lema wana rafiki (Peter Msigwa) mwana-CCM.

Sasa ndugu Wenje tuambie moja basi, mtu wa Chadema kuwa na rafiki CCM ni kosa au sio kosa? Usituchanganye ndugu watazamaji.
 
Huwo ushahidi upo wapi sasa? Msigwa baki huko huko ulipo,usituharibie mood.
 
tatatattahh wenje amewakurupusha watu kutoka pangoni
 
Wenje ni jinga kweli, hadi nimejilaumu 2010 nilipigia kura jinga likashinda Nyamagana.
Baada ya hapo nimekuja kupiga kura tena 2020, hii nilipiga sababu ya Tundu Lissu,

Mwamba ana balaa nadhani Mbowe huko aliko anahisi mpwito.
 
Mkuu hapo wamethibitisha kwamba bila Mbowe chama cha CDM hakiwezi kujiendesha ndio maana alipowekwa mahabusu pesa zilikata ndipo wakataka kuanzisha mradi wa utapeli kwa kuchangisha kupitia 'Jon the Chain' bila akaunti inayoeleweka kufanyiwa ukaguzi wa kihasibu. Kumsingizia katibu mkuu ambaye sio mhasibu ni kukosa utetezi wenye hoja yakinifu hivyo hawana 'moral authority' kujibizana na mpayukaji mwenzao.

CDM wanafundisha vyama vya siasa kujikosoa kwa kudhalilishana hadharani kwa umma bila kujua mshindi wa mchezo huo ndio mwathirika wa kesho.....period!
 

Dah dunia inaenda kwa kasi sana, wabongo mtaishiwa bundle sasa, unakosaje hizi episodes mpya deile? Nasubiri na Lema ajibu sasa, then wamuibue Sugu leo katajwa mahali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…