Peter Noni na Rostam - The EPA Connection

- Nilijua utarukia hilo, hapana ameorodheshwa kwenye Wizara ya kazi, Brela wanaorodhesha makampuni, lakini waajiri wote lazima waishie kuorodheshwa wizara ya kazi, again yale yale hoja hakuna! ni vyema ukajionea huruma mkuu kama ulivyosema!

FMEs!

Haya sasa. Waajiriwa wa makampuni yote tanzania wanaorodheshwa wizara ya kazi? Madereva, makarani, walinzi n.k ? Huko wizara ya kazi, idara gani? Na kila akihama au akiachishwa mfanyakazi lazima uripoti wizara ya kazi? na kila ukiajiri mtu mpya ni lazima uripoti wizara ya kazi? Unajua kweli unachozungumza?

Kweli hautuonei huruma wenzako.

Amandla.........
 

- Sasa unamteteaje Rostam huku huna dataz zake mkuu?

FMES!

Mimi nasema caspian ni ya Rostam. Wewe uliye na data tofauti ndiye unayepaswa kuziweka hadharani ili uongo wetu uwe wazi! Kigugumizi cha nini, Mkuu, kuwataja wenye Caspian na Mirambo?

Amandla.........
 

- Jioneee huruma mwenyewe kwa uvivu wa kutofikiri, kwamba Wizara ya kazi nimesema wanaorodheshwa waajiri, sio waajiriwa Bwa! ha! ha! Duh unachekesha sana hapa mkuu Bwa! ha! ha! ha!

FMES!
 
Mimi nasema caspian ni ya Rostam. Wewe uliye na data tofauti ndiye unayepaswa kuziweka hadharani ili uongo wetu uwe wazi! Kigugumizi cha nini, Mkuu, kuwataja wenye Caspian na Mirambo?

Amandla.........

- Ninaruida tena kwamba hizo kampuni kule Brella haziko under Rostam, na hata zingekwua haziajiri wafanyakazi 6000 kama alivyosema! Kwa hiyo hizi ni kamba mkuu!

Respect.

FMES
 
- Jioneee huruma mwenyewe kwa uvivu wa kutofikiri, kwamba Wizara ya kazi nimesema wanaorodheshwa waajiri, sio waajiriwa Bwa! ha! ha! Duh unachekesha sana hapa mkuu Bwa! ha! ha! ha!

FMES!

Sekretari na dereva sasa wamekuwa waajiri sasa? Si ndiko huko ulikopata dataz kuwa Rostam ameajiri dereva na sekretari tu! Na kama huko wizara ya kazi wanaorodhesha waajiri tu, umejuaje kuwa Rostam ameajiri sekretari na dereva tu!

Au wizara ya kazi unayoizungumzia ni Ministry of Works ambako makandarasi wanatakiwa kujiandikisha?

Amandla.........
 
- Ninaruida tena kwamba hizo kampuni kule Brella haziko under Rostam, na hata zingekwua haziajiri wafanyakazi 6000 kama alivyosema! Kwa hiyo hizi ni kamba mkuu!

Respect.

FMES

Mtaje tu mmiliki mmoja wa kampuni hizo, Mkuu!

Amandla.......
 
For some resorn kuna watu wengi tu wanamakampuni Under trust. Ukiwa na kampuni sio lazima jina lako liwe kwenye shareholders list. Kuna watu wengine wanawatumia their attoney to represent their shares therefore I dont see any problem

na hiyo trust inakuwa kwenye jina la nani?
majina ya kwenye trust yanatakiwa yajulikane
na huyo lawyer anakuwa anamuwakilisha nani?
mtu ambaye huyo lawyer anamuwakilisha anatakiwa ajulikane

je ra ana trust unazosema wewe?
hata hiyo trust lazima ijulikane wenyewe ni nani
 
FISADI NAMBA MOJA NI C C M musidanganyike mukababaisha bila kungoka CCM na ufisadi hauwezi kuondoka Tanganyika kwasasababu ndio biashara yao kubwa
 
Mimi nasema caspian ni ya Rostam. Wewe uliye na data tofauti ndiye unayepaswa kuziweka hadharani ili uongo wetu uwe wazi! Kigugumizi cha nini, Mkuu, kuwataja wenye Caspian na Mirambo?

Amandla.........

Ulishathibitisha BRELLA?
 
maswali mazuri FMES, naona kwenye hili tuko pamoja mpaka kieleweke kama anataka, asipotaka tumlazimishe RA atueleze kwa kutumia state machinery!!
 

Tatizo ni hayo makampuni kumilikiwa na vivuli vya watu kule BRELLA na kutumika kama money laundering na wajanja wachache.
 
Maswali ya wakili wa Mengi yamemfanya ajifanye kafunga mjadala. Atuambie ana kampuni ngapi? Na ziko kwa majina ya nani? Au ndio mambo yake ya kona kona ili kampuni ikiharibu mahali awe si mmiliki. Kama Caspian si yake huwa anafanyaga nini ofisi za jengo la Mirambo 50 kila siku range rover yake naiona inaingia
 
Ulishathibitisha BRELLA?

Sijathibitisha maana namwamini Mzee Mwanakijiji. Na Rostam mwenyewe amesema kuwa Caspian ni ya kwake. Sasa nyie mnaobisha kwa nini mnashindwa kutuambia nani ndiye mmiliki halali wa Caspian Construction Company. Kwa kuwarahisishia, nendeni hata Contractors Registration Board mtapata mnachotaka!

Amandla......
 


Kama haya yote pamoja na ya Kagoda umetumwa na mapapa kuja kutueleza ni ya kweli, RA aende mahakamani kumshitaki Mengi na Dr Slaa wanamchafulia jina. Kimya chake kinatufanya tuamini maneno ya Mengi. Mengi mwenzake kafungua ya kudhalilishwa nae basi RA afanye.

Afadhali umeeleza haujasoma na ningekujua nungekupeleka shule hata ya ngumbaru
 
Nadhani ingekuwa vyema tukajadili mamabo kwa upeo na bila ya jazba.
Tatizo la Tanzania inaonekana kwamba watu hawawezi kujadili jamo bila ya kuhusisha ukabila, dini na mabo mengine kama hayo.
Sawa kila kitu kina umuhimu wake lakini katika sehemu inayohusika tusiparaganye mambo tuwe waelewa zaidi na tujadili mambo logically,i.e.akimkosoa nyerere sio kwamba hampendi au haoni mema yake lakini ana mengi mabaya ya kutisha aliyoyafanya hapa nchini ambayo ki msingi yamekuwa ndio zao la hao mafisadi wa sasa, kwani Mkapa ni mwanafuzi wa nani? kaingizwa kwenye siasa na nani? kalelewa kwenye siasa na nani? kapewa uraisi na nani? sjawabu utapata ni nyerere ndie aliefanya na kusimamia ufisadi kule chimwaga mpaka mkapa akaupata uraisi na mkapa akawa kiranja wa ufisadi nchini baadae.
Kuhusu Rostam na Mengi kwa upande wangu nawaona wote ni mafisadi tu ingawa mwanakijiji anamtetea sana Mengi na kutoa kutufanya tuambini kama rostani ndio fisadi lakini tusidharau madai ya Rostam pengine kutoka na mtandao wake alionao ndo kapata data kuwa Mengi ni mkwepaji wa kodi na mwizi halipi mikopo na licha ya kuonesha vielelezo kuwa sio mwizi havimsafishi kwani rostama anadai Mengi kashirikiana na watumishi wasio waaminifu kupika nyaraka,ni mahakama tu.ndio itawasafisha wote,kwa mimi Rostam ni fisadi na mengi ni fisadi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…