Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
- Nilijua utarukia hilo, hapana ameorodheshwa kwenye Wizara ya kazi, Brela wanaorodhesha makampuni, lakini waajiri wote lazima waishie kuorodheshwa wizara ya kazi, again yale yale hoja hakuna! ni vyema ukajionea huruma mkuu kama ulivyosema!
FMEs!
Haya sasa. Waajiriwa wa makampuni yote tanzania wanaorodheshwa wizara ya kazi? Madereva, makarani, walinzi n.k ? Huko wizara ya kazi, idara gani? Na kila akihama au akiachishwa mfanyakazi lazima uripoti wizara ya kazi? na kila ukiajiri mtu mpya ni lazima uripoti wizara ya kazi? Unajua kweli unachozungumza?
Kweli hautuonei huruma wenzako.
Amandla.........