Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Zakaria bwana, hadi gari zake zinatamba barabarani, ukikaa vibaya zinakuparua, tena wanajaa katikati ya barabara!!!Mwache asotemo na yeye.
Kila jambo lina mwisho wake.
Ngoma ikivuma sana hupasuka
"Akitumaliza sisi atahamia kwenu" wacha aonje ladha halisi ya wanyonge.[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]:Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.
Utafanyaje na jamaa ndio mmoa wa wafadhili wa chama dola??Zakaria bwana, hadi gari zake zinatamba barabarani, ukikaa vibaya zinakuparua, tena wanajaa katikati ya barabara!!!
Tatizo wanajisahau sana ya kuwa kuna mwisho wa utemi sasa acha mbwa ale mbwa ni wenyewe kwa wenyeweUtafanyaje na jamaa ndio mmoa wa wafadhili wa chama dola??