Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Haatimae meno ya mbwa yameanza kuumana yenyewe kwa yenyewe.

Kwahili siwezi kumuonea huruma nzi wa kijani anaposomeshwa namba na nzi mwenzake......
 
Masahihisho mkuu hatusemi my wife wake------- tunasema wife wake my ni wewe wake na yeye mke wenu?
ni kweli ila ndio lugha siku hizi ya mtaani!! hahahahahahhaha.
Wanatumia sana wasanii wa vichekesho kwenye TV, my wife wake, my wife wangu and the like. Yote kwa yote ahsante kwa kunijali mkuu radika
 
zakaria.png

Mkuu tupia picha tuone mabasi yake yalivyopendeza kwa rangi
Hiyo hapo HAPA KAZI TUU. Ila wanamuonea kwa vile katufanya tuwajue wasio julikana
 
Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.

Pia soma

Mtenda hutendwa,anayeua kwa upanga atauawa kwa upanga.
 
ni kweli ila ndio lugha siku hizi ya mtaani!! hahahahahahhaha.
Wanatumia sana wasanii wa vichekesho kwenye TV, my wife wake, my wife wangu and the like. Yote kwa yote ahsante kwa kunijali mkuu radika
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Hao ni wenyewe kwa wenyewe, acha waumizane. Mtu akidhani kuwa CCM ndio kuwa salama, anajidanganya. Huyo atasoteshwa jela hadi achakae. Wamempachika hayo mashtaka ili tu asikanyage uraiani. Atajuta kuijua CCM.
CCM sio chaka la wahalifu
 
CCM hatufugi majambazi, aliondoka lowasa na kingunge, na sumaye na tukashinda kwa kishindo sembuse huyu jambazi na mla jasho la wengine
Mbona hamsemi wazi mambo ya huyu bwana yanayosemeka? Mnamun'gunya maneno na kupepesa ndimi? Amefanya nini tusichokijua wengine? Si mseme basi?
 
Huku mitaani hio situation iliyotokea hapo tunaiita "MBWA KALA MBWA" hio kesi itaamuliwa kwenye kikao cha halmashauri ya chama pendwa
 
Kikwetu kuna msemo unasema hivi .. natafisiri ... ukikijaza kiroba wakati unajua utakibeba mwenyewe unajipa tabu bure"

Wakati wanatoa magari yao kuwasomba watu kwenda kwenye mikutano ya kampeini hawakujua kuwa wale waliowahi kuwa humo waliuona ubaya wa humo ndo wakatoka.

Na sasa hii ni zamu ya wao kuonyeshwa!
Mkuu hebu rudia huo msemo bila kuutafsiri!
 
Hapa kazi tu

Huyu kalalamikiwa sana na shukurani kwa JF wengi tulimsoma na kumfahamia humu.. kuwa kuna mtu huyu nchini hapa.
 
mtu na pesa zakeeee rukia ngoma anaweza kuhamisha milima na mabondeee lakini hataishi mileeeee hatai mileee mbele ya JPM bila kwenda serrrrooooo
 
Back
Top Bottom