Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Cc: bashboyMwache asotemo na yeye.
Kila jambo lina mwisho wake.
Ngoma ikivuma sana hupasuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc: bashboyMwache asotemo na yeye.
Kila jambo lina mwisho wake.
Ngoma ikivuma sana hupasuka
Hivi zile Trillion 1.5 ni nani vile katuibia mkuu . naomba unipe jibuCCM hatufugi majambazi, aliondoka lowasa na kingunge, na sumaye na tukashinda kwa kishindo sembuse huyu jambazi na mla jasho la wengine
Hizi walipiga zile Trillion 1.5 ni wa kina nani na ni chama ganCCM sio chaka la wahalifu
Kwetu tunasema KOIGUSA EMFUREBE EKUNIGAKikwetu kuna msemo unasema hivi .. natafisiri ... ukikijaza kiroba wakati unajua utakibeba mwenyewe unajipa tabu bure"
Wakati wanatoa magari yao kuwasomba watu kwenda kwenye mikutano ya kampeini hawakujua kuwa wale waliowahi kuwa humo waliuona ubaya wa humo ndo wakatoka.
Na sasa hii ni zamu ya wao kuonyeshwa!
Jaribu kutumia akili ya kawaida tu. Mtu kisa kawapiga risasi watu wanaojulikana ndo apewe kesi zaidi ya ilompeleka mahabusu?Huyu mtu alikuwa analalamikiwa humu kuwa hagusiki na anaonea watu lakini kwavile ni serikali ya JPM inayodeal nae atapata watetezi. Tena watu macho makavu watatoa kila kejeli! Ila ungeona mikomenti yao enzi hizo sasa ....
Hii kesi ina mambo ya msingi sana. Inaelekea watu "wasiojulikana" walimla timing huyu jamaa kwa hayo "tunayo yasikia na tusio yajua" bahati mbaya game ikachafuka ikabidi wambebe na kumfungulia mashitaka ya kuumiza. Ii asichomoke na kuwaweka pabaya wahusika sasa amepata kesi ya uhujumu uchumi, ambayo naelelkea data zake wanazi siku nyingi. Je wangawahi kuondoka naye siku ile haya yangetokea?Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.
Uharifu ni uharifu tu, hauna chama!Kwani jamaa anavaa tshet ya rangi gani kijani na njano au zile zenye rangi nyeupe, nyekundu blue tuanzie hapo kwanza
Uharifu ni uharifu tu, hauna chama!
Sio kweli umezungumzia kwa nchi ambazo zinajitambua na kuheshim haki za binadam. Senerio kma hyo kuna something under the carpet hasa maswala ya kisiasaUharifu ni uharifu tu, hauna chama!
Uwe chadema, uwe ccm, uwe dini yo yote au kabila lo lote kama wewe ni mharifu lazima upate taabu sana.
Uharifu = Uharibifu = Uvunjaji wa sheria."Uharifu" ndio mnyama gani arawa
Subiri maamuzi ya mahakama.Sio kweli umezungumzia kwa nchi ambazo zinajitambua na kuheshim haki za binadam. Senerio kma hyo kuna something under the carpet hasa maswala ya kisiasa
Mola niepushe walahi