Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi comment za humu asee watu waliona mbali.Tujikumbushe huu uzi
Basi la zakaria lachinja mwanza. Hizi ndo tabia za mmiliki wake!.
hahahaha hii lugha hii ilikuja kwa meliMasahihisho mkuu hatusemi my wife wake------- tunasema wife wake my ni wewe wake na yeye mke wenu?
Lakini leo anatetewaHuyu ndio alikuwa anamwagia watu tindikali, anawapiga watu risasi, anadhulumu Bila kuchukuliwa hatua yoyote. Mungu ni mkubwa, sasa ale jeuri yake
Mharifu/Uharifu!!!!Uharifu ni uharifu tu, hauna chama!
Uwe chadema, uwe ccm, uwe dini yo yote au kabila lo lote kama wewe ni mharifu lazima upate taabu sana.
Hivi Manji alishapata dhamana kwenye kesi yake?uhujumu uchumi! naona kwa mbaali kesi inataka kufanana na ya Manji
wapi katetewa, au mwenzetu hujui kusomaMakamanda Leo hii mmekuwa watetezi wa Zacharia Kama kawaida yenu