Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

images (10).jpeg


Hapa kazi tu....!
 
Serikali hii ya JPM inawaibia Pesa matajiri wa Nchi hii lkn inaanza kwa kuwaomba Pesa, wanatoa, kisha inarudia mara kadhaa, kiasi kwamba wanajikuta wameishiwa Pesa kbsa. Matajiri hao wanapositisha kuchangia, JPM huanza kuwaandama kwa vitisho, utekaji, uteswaji na uuwaji!

Heri yao wale wasiyoshsngilia kitendo hiki anachofanyiwa Tajiri Zacharia. Serikali ya JPM siyo rafiki kwa yeyote aliye Tajiri!
JPM ndiye muasisi wa WATU WASIYOJULIKANA, na baadhi ya watu wenyewe ndiyo wale waliotaka kumteka Tajiri Zachari naye huku akijua kbsa, akijilegeza watampeleka kumtesa na kumuua, aliamua kujitetea kwa namna ile. Kwa maana nyingine, Mungu alikuwa pamoja na Zacharia la sivyo angelikuwa ameshakufa!
Serikali ya JPM huwafungulia matajiri kesi za uhujumu uchumi ili kuwanyima dhamana wabaki Gerezani ili wapate fursa ya kuwaibia Pesa zao Benk, matajiri hao wanapoachiwa huru kutoka Gerezani, hukuta tayari account zao kwenye mabenk, ziko tupu, pesa zote zimefyonzwa! Niaibu kwa Serikali kuiba Pesa ya wanainch wake wenyewe waliotafuta Fedha kwa juhudi, weledi na jasho lao wenyewe.

Watu waliotaka kumteka Mh.Zacharia wamefanywa nni!? Kwa nni kwenye Gari yao, waliweka namba feki km kweli hawakuwa na nia mbaya!? Je, watu wale wanaruhusiwa kukamata mwananchi!? Maswali haya yawasaidie wale wote wanaoshangilia kukamatwa kwa Tajiri huyu.
Leo ni kwake, kesho ni kwetu, chatu yuko anakua taratibu ipo siku atakuwa na uwezo wa kutumeza wote!
Wewe mkuu unaonekana unafaidika na huyu Zacharia! Hakuna mtu wa kanda ya ziwa asiyejua uharifu wa huyu mtu amemwagia madereva wa mabus wengi tindikali eti kwa sababu ya mabus yake kuzidiwa barabarani amechukua mali za Nyanza amekuwa akifanya matendo ya kiharifu ndani ya ziwa victoria. Orodha ni ndefu sana nimeamini Mungu ni wa wote naye zake zimefika alifikiri akiandika mabus yake majina ya Magu atapona... hii serikali ya awamu ya tano haina kujipendekeza ni kazi tu tena za halali.
 
Kumiliki silaha ni uhujumu uchumi? Au kuna kosa la dhiada huenda alikuwa ana makosa mengine alikuwa akifanyiwa upelelezi akiwa nje au alikkuwa nje kwa masharti
 
Wewe mkuu unaonekana unafaidika na huyu Zacharia! Hakuna mtu wa kanda ya ziwa asiyejua uharifu wa huyu mtu amemwagia madereva wa mabus wengi tindikali eti kwa sababu ya mabus yake kuzidiwa barabarani amechukua mali za Nyanza amekuwa akifanya matendo ya kiharifu ndani ya ziwa victoria. Orodha ni ndefu sana nimeamini Mungu ni wa wote naye zake zimefika alifikiri akiandika mabus yake majina ya Magu atapona... hii serikali ya awamu ya tano haina kujipendekeza ni kazi tu tena za halali.
Huyo Zacharia sina maslahi naye wala simjui na sijawahi kufika Mkoa wake, isipokuwa ninatumia uzoefu na record mbovu ya vitendo vya Serikali ya JPM na watu wake WASIYOJULIKANA ktk kutathmini na kulaani maovu anayowatendea matajiri wa Nchi hii! Kwa nni wamemfungulia mashitaka kipindi hiki ambacho hao Watu wasiyojulikana wanaojiita Usalama wa Taifa, kushindwa kumteka na kumpeleka kusikojulikana!? Yaani baada ya jaribio la kumteka kushindikana ndipo wameona ni bora wamtie kizuizini na hayo maovu yake Zacharia kuanikwa!? Kwa nni wasingelimkamata na kumfungulia mashitaka kabla ya siku ile km kweli nia ya Serikali ilikuwa ni njema!? Kuna maswali mengi juu ya jambo hili, bwana!

Ikumbukwe kwamba, ni ktk Mkoa huo huo, kuna Tajiri mwengine alitekwa na kupotea na Maiti yake kuokotwa na Gari yake kukutwa imeunguzwa je, naye alikuws na maovu km ya tajiri huyo Zacharia!?
 
CCM hatufugi majambazi, aliondoka lowasa na kingunge, na sumaye na tukashinda kwa kishindo sembuse huyu jambazi na mla jasho la wengine
Haaahaaaaa vp waliotusababishia hasara ya trillion 400+ za ile kamati ya makinikia.... Almasi na tanzanite pia walitajwa unaweza kusema ni lini wameshakamatwa??? Tuambie ni lini wanafunguliwa mashtaka??

Watanzania tukitaka kusaidia nchi yetu tuache unafiki na ushabiki wa kisiasa lasihivyo tutaishia kuwa nchi maskini wakati tuna rasilimali zote
 
Na mkewe pia ana kesi ya kuhujumu mali za chama kikuu cha ushirika cha mkoa wa Mwanza (NYANZA) au NCU, alikuwa rumande sijuia kama yuko huru au bado
Bado yupo nyavuni aseee.... Aliambiwa achague kurudisha Mali za nyanza au apambane na kesi ya uhujumu uchumi...kakaza kaamua kupambana na kesi yupo butimba hapo amehifadhiwa.... Mara paaaaap Mme nae kesi ya uhujumu uchumi.... Nnachokiona Jiwe anapambana sana na waliokula Mali za ushirika... Si mnajua tena Jiwe alifanya kazi nyanza pale kama QUALITY CONTROLLER .... ANAWAJUA WOTE WALIOKULA NA KUFUJA MALI ZA NYANZA....anapambana nao kivingine. Waachie tu Mali kama Manji yaishe
 
Du, jamaa kapatwa na stroke hivi karibuni.... It's very sad.
 
Back
Top Bottom