Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Peter Zakaria apata tabu sana. Sasa apata kesi ya uhujumu uchumi na kumiliki silaha nje ya sheria. Anyimwa dhamana...

Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.

Pia soma

Hizi ni zama za kuitafsiri sheria na si vinginevyo.
Wote waliozoea kuwa juu ya sheria...wajifunze
 
Mkuu tupia picha tuone mabasi yake yalivyopendeza kwa rangi
Haya hapa mkuuView attachment 806612
30855928_248957755847929_4870201946809565184_n.jpg
 
Serikali hii ya JPM inawaibia Pesa matajiri wa Nchi hii lkn inaanza kwa kuwaomba Pesa, wanatoa, kisha inarudia mara kadhaa, kiasi kwamba wanajikuta wameishiwa Pesa kbsa. Matajiri hao wanapositisha kuchangia, JPM huanza kuwaandama kwa vitisho, utekaji, uteswaji na uuwaji!

Heri yao wale wasiyoshsngilia kitendo hiki anachofanyiwa Tajiri Zacharia. Serikali ya JPM siyo rafiki kwa yeyote aliye Tajiri!
JPM ndiye muasisi wa WATU WASIYOJULIKANA, na baadhi ya watu wenyewe ndiyo wale waliotaka kumteka Tajiri Zachari naye huku akijua kbsa, akijilegeza watampeleka kumtesa na kumuua, aliamua kujitetea kwa namna ile. Kwa maana nyingine, Mungu alikuwa pamoja na Zacharia la sivyo angelikuwa ameshakufa!
Serikali ya JPM huwafungulia matajiri kesi za uhujumu uchumi ili kuwanyima dhamana wabaki Gerezani ili wapate fursa ya kuwaibia Pesa zao Benk, matajiri hao wanapoachiwa huru kutoka Gerezani, hukuta tayari account zao kwenye mabenk, ziko tupu, pesa zote zimefyonzwa! Niaibu kwa Serikali kuiba Pesa ya wanainch wake wenyewe waliotafuta Fedha kwa juhudi, weledi na jasho lao wenyewe.

Watu waliotaka kumteka Mh.Zacharia wamefanywa nni!? Kwa nni kwenye Gari yao, waliweka namba feki km kweli hawakuwa na nia mbaya!? Je, watu wale wanaruhusiwa kukamata mwananchi!? Maswali haya yawasaidie wale wote wanaoshangilia kukamatwa kwa Tajiri huyu.
Leo ni kwake, kesho ni kwetu, chatu yuko anakua taratibu ipo siku atakuwa na uwezo wa kutumeza wote!
 
Wacha akome, ngoja tuone kama mabasi yake yataendelea kua na yale matangazo/stika ya hapa kazi tu.
 
Aliandika hapa kazi tu katika mabasi yake......
 
Malicious prosecution.

DPP na Usalama wa Taifa hamna uzalendo, mnanajisi katiba ya nchi, mnajua fika kwamba mmebambika uhujumu uchumi kwenye kesi ya silaha ili kumnyima dhamana.
 
Katika aibu ya mwaka ya watu wasiojulikana ni hii ya Zakaria wamepata aibu kubwa sana na Mungu atawaumbua tena muda siyo mrefu ili ukweli ujulikane!
Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.

Pia soma

 
Ccm wote ni wauaji,wanyang'aji,matapeli,wazandiki na wafedheheshaji wakubwa!
 
Back
Top Bottom