Sijui wametibuana nini tu! Labda Ghachuma, Christopher wa COCA anajua kisaUtafanyaje na jamaa ndio mmoa wa wafadhili wa chama dola??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wametibuana nini tu! Labda Ghachuma, Christopher wa COCA anajua kisaUtafanyaje na jamaa ndio mmoa wa wafadhili wa chama dola??
Yana rangi ya kijani na njanoMkuu tupia picha tuone mabasi yake yalivyopendeza kwa rangi
Na mkewe pia ana kesi ya kuhujumu mali za chama kikuu cha ushirika cha mkoa wa Mwanza (NYANZA) au NCU, alikuwa rumande sijuia kama yuko huru au badoHao ni wenyewe kwa wenyewe, acha waumizane. Mtu akidhani kuwa CCM ndio kuwa salama, anajidanganya. Huyo atasoteshwa jela hadi achakae. Wamempachika hayo mashtaka ili tu asikanyage uraiani. Atajuta kuijua CCM.
Bado yumo jirani!Na mkewe pia ana kesi ya kuhujumu mali za chama kikuu cha ushirika cha mkoa wa Mwanza (NYANZA) au NCU, alikuwa rumande sijuia kama yuko huru au bado
rudia kusoma mkuu kwa umakini naamini utaelewa tu!Mwanzo kapewa dhamana mwisho kanyimwa dhama sijaelewa jazia jazia nyama mkuu sijaelewa
Nilisikia walimwachia baadae wakamkamata tena!!! Sasa naona hiyo familia inaelekea pa baya. BABA na MAMA wako rumande tena kwa tuhuma za uhujumu uchumi!!!!Bado yumo jirani!
Mkuu we umeanza kwa kusema apewa dhamana afu ukamalizia kwa anyimwa dhamanarudia kusoma mkuu kwa umakini naamini utaelewa tu!
Ndio yupo sahihi kwa kuwa makosa mengine yana dhamana isipo kuwa hilo la uhujumu uchumi... uwezi pata dhamana...Mkuu we umeanza kwa kusema apewa dhamana afu ukamalizia kwa anyimwa dhamana
safi. mbwa washaanza kulana wao kwa wao!!Mfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.
Noma sana, naona wameanza kumtafuta mzee kwa njia nyingine ili wamtoe mama, zile mali si zimeandikwa jina la mama ndo maana wakamkamata!Nilisikia walimwachia baadae wakamkamata tena!!! Sasa naona hiyo familia inaelekea pa baya. BABA na MAMA wako rumande tena kwa tuhuma za uhujumu uchumi!!!!
heee! Kumbe zile basi zote zina jina la my wife wake?!!!!Noma sana, naona wameanza kumtafuta mzee kwa njia nyingine ili wamtoe mama, zile mali si zimeandikwa jina la mama ndo maana wakamkamata!
Jamaa alivyokuwa akinunua anaandika jina la mke wake!
Ndo maana nikakwambia urudie kusoma mkuu utaelewa ni kwa nini amenyimwa dhamana!Mkuu we umeanza kwa kusema apewa dhamana afu ukamalizia kwa anyimwa dhamana
Makamanda Leo hii mmekuwa watetezi wa Zacharia Kama kawaida yenuMfanyabiashara maarufu mkoa wa Mara na mmiliki wa Mabasi ya Zakaria, Peter Zacharia amepewa dhamana kwa kesi ya kujeruhi watu wawili, kisha kusomewa mashitaka mengine ya Uhujumu uchumi pamoja na kumiliki bunduki na risasi bila kibali,amenyimwa dhamana kwa kesi hizo hadi tarehe 12 mwezi huu.
CCM ya kuficha wahalifu ilishapita kitambo..bado unaota!Hao ni wenyewe kwa wenyewe, acha waumizane. Mtu akidhani kuwa CCM ndio kuwa salama, anajidanganya. Huyo atasoteshwa jela hadi achakae. Wamempachika hayo mashtaka ili tu asikanyage uraiani. Atajuta kuijua CCM.
kuhusu hizi bus sijui lakini hizo za ushirika habari ndo hiyo ndo maana mama alikuwa wa kwanza kukamatwa maana mali zinasoma jina lake!heee! Kumbe zile basi zote zina jina la my wife wake?!!!!
CCM hatufugi majambazi, aliondoka lowasa na kingunge, na sumaye na tukashinda kwa kishindo sembuse huyu jambazi na mla jasho la wengineHao ni wenyewe kwa wenyewe, acha waumizane. Mtu akidhani kuwa CCM ndio kuwa salama, anajidanganya. Huyo atasoteshwa jela hadi achakae. Wamempachika hayo mashtaka ili tu asikanyage uraiani. Atajuta kuijua CCM.