Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh......
Gardner anazidi kupata hasara....
Yaani bogus 1 + bogus 2,what a heavy load of problems?!
Nyoosha kiswahili mkuuSi nilisikia huyo jamaa shemeji yake na diamond kazaa nae na mtoto dada wa mond?
Sio Karen bana amemuoa dada mmoja alimpost juz anaitwa posh nani cjui huko.Huyo Gardner kakubalije mtoto wake aolewe na muhuni asee?
Daaah afadhali...nilitaka kushanga 😳Sio Karen bana amemuoa dada mmoja alimpost juz anaitwa posh nani cjui huko.
dah!! My careen.sema yote maisha ngoja nipambane na hali yanguNilisikia alikua chuo.
Yote heriiAngekuwa mwanangu nisingekubali , ila shamba la bwana heri mbuzi wa bwana heri watajuana wenyewe
Waislam hao mkuu..si mume wa esma au?
Sijui anakimbilia wapi.. Mdogo Sana kujiingiza kwenye ndoa Na mwanaume Kama PetitKama ni kweli basi Karen kachemka. Ndoa saa hizi??
kuna mtu hapo kasema wameachana..mweh!Waislam hao mkuu..
Aaaa wapi ,hii ni kwako ,kwangu shari niwe muwazi tu.Yote herii
Wanaachanaga wanarudiana. Labda safari hii waachane kwelikuna mtu hapo kasema wameachana..mweh!
hahaa pole yake.kakazana na kukimbizana na ya kakake huku yake yanamshindaWanaachanaga wanarudiana. Labda safari hii waachane kweli