Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
hata mimi mwenyewe hapa natamani kukutukana ila tu basi najizuia.
kiukweli mada yako umeileta kwa chuki binafsi na kwa kukurupuka bila hata kutafakari mara mbili kabla ya kuponyeza kitufe cha upload.
wanaokutukana wana kila sababu ya kufanya hivyo.
Hapo kwenye red duh 😛😛😛😛😛 atakuwa amekuelewa mkuu kadoda11