Petition ya kumfanya Ibrahim Traore kuwa Rais wa Afrika iliyoungana

Petition ya kumfanya Ibrahim Traore kuwa Rais wa Afrika iliyoungana

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Africa ni bara lililogawanyika sana.Mgawanyiko huu haukuja kwa bahati mbaya,it is by design.Wakoloni walijua kwamba kama wangeacha bara la Africa liwe na umoja,wasingeweza kuitawala na kuiba rasilimali zake kwa urahisi.Kwa hiyo ili Africa isiwe na sauti moja, waliligawanya bara letu katika vinchi vidogo vidogo kwa nia ya kulitawala na hatimaye kuiibia rasilimali zake.

Kuwmekuwa na nia ya kuwa na Africa iliyoungana kwa maana ya kuwa na kiongozi mmoja wa Africa Kwa miongo kadhaa,sarafu moja na aina moja ya uchumi(economic system). Wazo hili halikuwahi kukubalika na viongozi wote wa Africa,kwa sababu mbili za msingi:ubinafsi na kukosekana kwa mtu ambaye kweli angeweza kuibeba Africa yote kwa ujumla wake na kuiletea maendeleo bila kuwa na ubinafsi na upendelea.

Kwa sasa matatizo ya ubinafsi na upendeleo yanaonekana kupatiwa ufumbuzi,kwa hiyo ni swala la Waafrika kujitambua na kuchukua maamuzi ya pamoja, ili hatimaye Africa ichukue nafasi yake katika Dunia kama bara lililopiga hatua kimaendeleo katika nyanja zote.

Yupo kijana mmoja ambaye kwa sasa ni Rais wa Burkina Faso.Kijana huyu ameonyesha ubunifu mkubwa wa kuiongoza Burkina Faso na kuiletea nchi yake maendeleo kwa muda mfupi, ambayo hayajawahi kuonekana katika historia ya Dunia. Kijana huyu pia amekuwa na ubunifu mkubwa wa kulipa deni la Burkina Faso,kiasi kwamba nchi hiyo sasa haina deni la taifa kabisa. Ibrahim Traore pia amefanya jambo lingine la ajabu ,ambalo viongozi wa Africa wameshindwa kujifanya miaka yote: kusitisha kabisa uhusiano na nchi za Ulaya, huku ambao kimsingi sio WA lazima na una nia ovu,huku ikiendelea kupiga hatua kimaendeleo katika kiwango cha kushangaza.Kinachoendea Burkina Faso ya Ibrahim Traore kwa kweli ni gumzo la Dunia.

Kwa kuliona hili, ipo petion ambayo imekuwa proposed kwamba Ibrahim Traore atawazwe kama Rais wa Africa.Fuata link ifuatayo uone hiyo petition,na kama kweli wewe ni mtoto wa Africa,sign it.

Please go through the comments section and see the comments of other people.As for me,I support Ibrahim Traore for a United African President 100%.


View: https://www.youtube.com/live/vgkPapG6nVY?si=tAK_jWl6CDZKSPNA
 
Acheni propaganda, huyo dogo wa Bukina anachofanya ni kuitawala nchi kijeshi hivyo ujue habari zinazoenea ni habari za upande mmoja.

Huyo dogo wala hana uzalendo wowote zaidi ni kuwa papeti wa kikomunisti.

Uchumi hauna propaganda ni swala la muda tu ukweli wote utakuwa wazi
 
Acheni propaganda, huyo dogo wa Bukina anachofanya ni kuitawala nchi kijeshi hivyo ujue habari zinazoenea ni habari za upande mmoja.

Huyo dogo wala hana uzalendo wowote zaidi ni kuwa papeti wa kikomunisti.

Uchumi hauna propaganda ni swala la muda tu ukweli wote utakuwa wazi
Fuatilia vizuri yanayoendelea Burkina Faso,utamkubali Traore.Halafu mkuu ulichoandika ni porojo tu,hamna kitu. Trump kamkubali.Macron adui yake mkubwa kamkubali,Putin kamkubali,sasa wewe dah,nakosa hata cha kusema.
 
Africa ni bara lililogawanyika sana.Mgawanyiko huu haukuja kwa bahati mbaya,it is by design.Wakoloni walijua kwamba kama wangeacha bara la Africa liwe na umoja,wasingeweza kuitawala na kuiba rasilimali zake kwa urahisi.Kwa hiyo ili Africa isiwe na sauti moja, waliligawanya bara letu katika vinchi vidogo vidogo kwa nia ya kulitawala.

Kuwekuwa na nia ya kuwa na Africa iliyoungana kwa maana ya kuwa na kiongozi mmoja wa Africa,sarafu moja na aina moja ya uchumi(economic system). Wazo hili halikuwahi kukubalika na viongozi wote wa Africa,kwa sababu mbili za msingi,ubinafsi na kukosekana kwa mtu ambaye kweli angeweza kuibeba Africa yote kwa ujumla wake na kuiletea maendeleo bila kuwa na ubinafsi na upendelea.

Kwa sasa matatizo ya ubinafsi na upendeleo yanaonekana kupatiwa ufumbuzi,kwa hiyo ni swala la Waafrika kujitambua na kuchukua maamuzi ya pamoja, ili hatimaye Africa ichukue nafasi yake katika Dunia kama bara lililopiga hatua kimaendeleo katika nyanja zote.

Yupo kijana mmoja ambaye kwa sasa ni Rais wa Burkina Faso.Kijana huyu ameonyesha ubunifu mkubwa wa kuiongoza Burkina Faso na kuiletea nchi yake maendeleo kwa muda mfupi, ambayo hayajawahi kuonekana katika historia ya Dunia.Kijana huyu pia amekuwa na ubunifu mkubwa wa kulipa deni la Burkina Faso,kiasi kwamba nchi hiyo sasa haina deni la taifa kabisa.Ibrahim Traore pia amefanya jambo la ajabu ambalo viongozi wa Africa wameshindwamiaka yote,kusitisha kabisa uhusiano na nchi za Ulaya, huku ikiendelea kupiga hatua kimaendeleo katika kiwango cha kushangaza.Kinachoendea Burkina Faso ya Ibrahim Traore kwa kweli ni gumzo la Dunia.

Kwa kuliona hili, ipo petion ambayo imekuwa proposed kwamba Ibrahim Traore atawazwe kama Rais wa Africa.Fuata link ifuatayo uone hiyo petition,na kama kweli wewe ni mtoto wa Africa,sign it.

Please go through the comments section and see the comments of other people.As for me,I support Ibrahim Traore for a United African President.


View: https://www.youtube.com/live/vgkPapG6nVY?si=tAK_jWl6CDZKSPNA

Hafiki popote
 
Africa is too huge with a lot of diversity in almost all aspects to be a single country. Wala tusisingizie wazungu; Africa haiwezi kuwa nchi moja kwa vigezo vyovyote vile na ni vizuri isiwe hivyo - God forbid.
Hujui kinachoendea duniani mkuu.A one world government is coming,and this is whether you like it or not.Sasa kama hiyo Inakujaa, Africa si only a portion of that.Seek knowledge mkuu.
 
Africa is too huge with a lot of diversity in almost all aspects to be a single country. Wala tusisingizie wazungu; Africa haiwezi kuwa nchi moja kwa vigezo vyovyote vile na ni vizuri isiwe hivyo - God forbid.
Upo sahihi.

Huwa sipendi haya mawazo ya kipumbavu ya Afrika moja sijui wapuuzi gani wamelisha huu uozo kwenye vichwa vya baadhi ya waafrika
 
Africa ni bara lililogawanyika sana.Mgawanyiko huu haukuja kwa bahati mbaya,it is by design.Wakoloni walijua kwamba kama wangeacha bara la Africa liwe na umoja,wasingeweza kuitawala na kuiba rasilimali zake kwa urahisi.Kwa hiyo ili Africa isiwe na sauti moja, waliligawanya bara letu katika vinchi vidogo vidogo kwa nia ya kulitawala.

Kuwekuwa na nia ya kuwa na Africa iliyoungana kwa maana ya kuwa na kiongozi mmoja wa Africa,sarafu moja na aina moja ya uchumi(economic system). Wazo hili halikuwahi kukubalika na viongozi wote wa Africa,kwa sababu mbili za msingi,ubinafsi na kukosekana kwa mtu ambaye kweli angeweza kuibeba Africa yote kwa ujumla wake na kuiletea maendeleo bila kuwa na ubinafsi na upendelea.

Kwa sasa matatizo ya ubinafsi na upendeleo yanaonekana kupatiwa ufumbuzi,kwa hiyo ni swala la Waafrika kujitambua na kuchukua maamuzi ya pamoja, ili hatimaye Africa ichukue nafasi yake katika Dunia kama bara lililopiga hatua kimaendeleo katika nyanja zote.

Yupo kijana mmoja ambaye kwa sasa ni Rais wa Burkina Faso.Kijana huyu ameonyesha ubunifu mkubwa wa kuiongoza Burkina Faso na kuiletea nchi yake maendeleo kwa muda mfupi, ambayo hayajawahi kuonekana katika historia ya Dunia.Kijana huyu pia amekuwa na ubunifu mkubwa wa kulipa deni la Burkina Faso,kiasi kwamba nchi hiyo sasa haina deni la taifa kabisa.Ibrahim Traore pia amefanya jambo la ajabu ambalo viongozi wa Africa wameshindwamiaka yote,kusitisha kabisa uhusiano na nchi za Ulaya, huku ikiendelea kupiga hatua kimaendeleo katika kiwango cha kushangaza.Kinachoendea Burkina Faso ya Ibrahim Traore kwa kweli ni gumzo la Dunia.

Kwa kuliona hili, ipo petion ambayo imekuwa proposed kwamba Ibrahim Traore atawazwe kama Rais wa Africa.Fuata link ifuatayo uone hiyo petition,na kama kweli wewe ni mtoto wa Africa,sign it.

Please go through the comments section and see the comments of other people.As for me,I support Ibrahim Traore for a United African President.


View: https://www.youtube.com/live/vgkPapG6nVY?si=tAK_jWl6CDZKSPNA

Mjiepushe na Viongozi wa dini, wengi wao ni mamluki na wauaji
 
Unajua mkuu Kuna ndoto ukiota usiposhtuka mapema lazima kuna jambo litatokea.
Sawa,tuiache iwe ndoto kwa sasa.Lakini kwa nini unafhani hiki kitu ni impossible,mbona serikali moja ya Dunia Inakuja,au hujui.A One World Goverment is coming,tena sio mbali sana.
 
Sawa,tuiache iwe ndoto kwa sasa.Lakini kwa nini unafhani hiki kitu ni impossible,mbona serikali moja ya Dunia Inakuja,au hujui.A One World Goverment is coming,tena sio mbali sana.
Ofcourse Dunia inaenda kuwa na serikali moja, ila si leo, labda wajukuu wa vitukuu vyako ndo watashuhudia hilo maana lazima Tech ifike kiwango cha kuweza kucontrol raia mpaka vijijini ndani huko sasa ndo kwanzaa tunapambana na AI.
 
Back
Top Bottom