Dear Da VinciDear geni..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio. Jamaa ana migodi ya Almasi Congo pia nchini amewekeza kwenye media house kadhaa. Tuna mengi ya kujifunza toka kwake
Naic jina limemchanganya uyu cyo bureMmmh..mkuu hii chai ...petitman huyo huyo aliekua anazunguka na wema kila sehem mpk mikoba kumbebea leo hii kawa bilionea au unamzungumzia mwingne
Hata hujui lolote. Lep hii Petit ni Bilionea [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] . Vichekesho vingine banaPetitman huyu ni Bilionea toka Congo DRC anaeishi TZ kwa muda mrefu sasa. Inasemekana yeye ndo anamfadhili kijana wetu Dangote kifedha ili kuendesha ofisi na kufanikisha shoo zake ikiwemo hii ya karibuni ya A BOY FROM MADALE. Kwa niaba ya Watanzania natoa shukrani za dhati kwa Mhe. Dr. Petitman.
If u can't fight them join ur hands with them!!!!Naona siku hz umehamia timu ya ushindi WCB
Hapana mbongo anaitw MohammedPetii Kumbe ni mkongo