Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Petitman wakuache huyu huyu mdananda au majina yamefanana
Hahaha,Petitman wakuache huyu huyu mdananda au majina yamefanana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan kuna mambo zinachekesha labda majina yamefanana ebu ngoja arudi ila kama ni petitman wakuache shemeji yake kwa esma huyo hana lolote ni mdananda hapa mjini boss wake haidary kavira sasa hivi kahama nchi ndio mana yupo busy na familia ya mondi kuzurula kila wanapoendaHahaha,
Inaonekana mkuu una file lake, ila km ni huyo hawezi kuwa PDGYaan kuna mambo zinachekesha labda majina yamefanana ebu ngoja arudi ila kama ni petitman wakuache shemeji yake kwa esma huyo hana lolote ni mdananda hapa mjini boss wake haidary kavira sasa hivi kahama nchi ndio mana yupo busy na familia ya mondi kuzurula kila wanapoenda
Huyo akiwa pedeshee na me shunie basi ni pedesheeInaonekana mkuu una file lake, ila km ni huyo hawezi kuwa PDG
Hahaha, inawezekana ,ujue bongo wanasema usidharau MTU ,so hata wewe ni PDG pia,maeneo yakoHuyo akiwa pedeshee na me shunie basi ni pedeshee
Hahahhaha kwahiyo huyo petitman wa mleta thread ni pedeshee maeneo yakeHahaha, inawezekana ,ujue bongo wanasema usidharau MTU ,so hata wewe ni PDG pia,maeneo yako
Ukiwa na furaha ndani ya moyo hata pesa nayo huwa na furahanafurahig sana huyo jamaa nikimuona.. ana furaha mda wote.. nahisi ni bilionea wa furaha sio wa fedha... maisha yake simple sana ila ana furaha sana.. ukimwona muda wote
Nadhani hivyo,ttz siwajui sana hao akina petitman,ila kwa maoni yako ,ndio nimejibu hivyoHahahhaha kwahiyo huyo petitman wa mleta thread ni pedeshee maeneo yake
Nadhan ndio huyo huyo anaezungumziwa hapa,imenibid nicheke tuu nadhan jpili yangu leo itaenda poa sanaYaan kuna mambo zinachekesha labda majina yamefanana ebu ngoja arudi ila kama ni petitman wakuache shemeji yake kwa esma huyo hana lolote ni mdananda hapa mjini boss wake haidary kavira sasa hivi kahama nchi ndio mana yupo busy na familia ya mondi kuzurula kila wanapoenda
Naomba nipate tafasiri ya mdananda kama hutajaliPetitman wakuache huyu huyu mdananda au majina yamefanana
Huhuhuuuu shunie karudiiiiiPetitman wakuache huyu huyu mdananda au majina yamefanana