Tetesi: Petitman: Mkongomani Bilionea anayempa 'support' Diamond kifedha

Huyu Bilionea ndio amemnunulia shemeji yake Diamond hoteli, Sinza.
 
Nimemsoma mleta mada ni mshenzi nia yke hasa ilikuwa petitman atukanwe io ndio ilikuwa shida yke
 
Bilionea karudia zigo lake. Chezeya Njaa?
 
Jamaa unataka usababishe shemela wa Domo awe anazurula viunga vya vijana wa kamanda Sirro kuhojiwa.
 
nafurahig sana huyo jamaa nikimuona.. ana furaha mda wote.. nahisi ni bilionea wa furaha sio wa fedha... maisha yake simple sana ila ana furaha sana.. ukimwona muda wote
Uko sawa, furaha hailetwi na pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…