Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajifunza kutoka kwa matapeli mbona nyie vijana mu wepesi sana wa kudanganywa eti tunajifunza kwake ,lipi hilo la kujifunza kwake?Ndio. Jamaa ana migodi ya Almasi Congo pia nchini amewekeza kwenye media house kadhaa. Tuna mengi ya kujifunza toka kwake
Si huyu huyu aliyekuwa mbeba mikoba wa Wema sepetu?Ndio. Jamaa ana migodi ya Almasi Congo pia nchini amewekeza kwenye media house kadhaa. Tuna mengi ya kujifunza toka kwake
we unajua niniYou know nothing....
Ana ukongo gani bana..mTanzania yule
AiseeeeeeeeeeeeeNdio. Jamaa ana migodi ya Almasi Congo pia nchini amewekeza kwenye media house kadhaa. Tuna mengi ya kujifunza toka kwake
Huyu Billionea alikuwa mbeba pochi wa WemaPetitman huyu ni Bilionea toka Congo DRC anaeishi TZ kwa muda mrefu sasa. Inasemekana yeye ndo anamfadhili kijana wetu Dangote kifedha ili kuendesha ofisi na kufanikisha shoo zake ikiwemo hii ya karibuni ya A BOY FROM MADALE. Kwa niaba ya Watanzania natoa shukrani za dhati kwa Mhe. Dr. Petitman.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu jamaa ana pesa chafu sema hapendi show off...jamaa ni kama kibakuli...ali na petitiman wana pesa chafu kuliko diamond... Petitman hapendi show off anatumia altezza used akiwa bongo...ila kwao congo ana majumba Ferrari, Lamborghini na Bugatti...hawa akina bakhresa na mengi huwa wanakopa kwa jamaa...yule hapendi masifa yani.
Sorry guys nlkua naota [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu petitiman ni the legendary mario wa ma marios wengine hapa mjini[emoji1] [emoji1] povu ruksa
KkkkkkkkkkkkkkMmmh..mkuu hii chai ...petitman huyo huyo aliekua anazunguka na wema kila sehem mpk mikoba kumbebea leo hii kawa bilionea au unamzungumzia mwingne
BifuNakumbuka aliwai kugombea simu na calisah ambayo alinunuliwa na
Sepenga [emoji23][emoji23][emoji23].
Kkkkkkkkkkk yaani huwa nikisoma thread za Bongo na zile za Kenya nabaki tu namuwazia Magufuli aendelee kukaba tu hadi Wabongo akili zikae levelduh ni BILIONEA kumbe
Mie mwanzoni nilifikiri wanamzungumzia Emanuel Petit baadae ikabidi nicheke tu. Nimeagiza mafuta nianze kufuga rasta soon na mimi taitwa Niliongea Ng'wanapagiNdo nilikuwa nashangaa hapa,huyu mleta thread kakulupuka..