Petro Parolini anaetazamiwa kurithi kiti cha upapa endapo kutatokea nafasi hio kuwa wazi

Petro Parolini anaetazamiwa kurithi kiti cha upapa endapo kutatokea nafasi hio kuwa wazi

Figo zimefeli
Mapafu yote hana
Ini limeshachoka
Bandama halifanyi kazi
Kongosho limesimama kupiga kazi

Kilichobaki ni moyo tu na Ubongo hapa siku yoyote utasikia tanzia
Situation kama ya John Paul II - hali ilidorora, akaimbwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hadi umauti wake.
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Hapo bold punguza mitazamo kwenye mambo ambayo huna uelewa nayo
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Wamteue Mtu ambaye bado kijana kidogo angalau mwenye umri wa miaka 50 hadi 55.

Wamekuwa wakiwateua Watu wazee sana
 
Hana mapafu na Figo zote 2 hana unategemea atanyanyuka kwa kutumia Figo na mapafu yako, hujui muda huu amelala pembeni kuna mtungi wa gesi puani unamuwezesha aweze walau kusogeza dakika ila sio kumuwezesha kuishi miaka 2 mbele


Kifo ni fumbo ambalo hakuna mwanadamu anayelijua jibu lake. Unayemtarajie afe leo au kesho anaweza asiwe. Badala yake akafariki ambaye hukuwahi hata kumtarajia.

Tangu Papa amelazwa, unadhani ni wangapi wamefariki? Je, unaamini hao wote walikuwa na hali mbaya kuliko Papa, kwa kuonekana?

Sisi tunamwombea uponywaji lakini muamuzi ni Mungu pekee yake.
 
Kanisa halijawi kukubali ushoga tatizo Pope alikuwa hana subira anapoulizwa maswali tata yeye alikuwa anajijibia tu kwa utashi wake wa kiimani asijue siyo wote wanaojua maana ya upendo kwa wale wanaohisiwa wana dhambi za moja kwa moja.

But nimekuwa surprised unaposema huyu ni mmoja ya waliomshauri kujibu ujinga ujinga mbele ya kadamnasi.
Papa mwenyewe hakuwahi kuukubali ushoga. Kwa maneno yake alisema kuwa Kanisa inabidi lisiwatenge, bali liwaoneshe upendo mashoga kama linavyowaonesha wakosefu wengine.

Akasema kuwa ushoga ni dhambi lakini siyo jinai.

Akasema kuwa makasisi wasikatae kuwabariki au kubariki vitu vya mashoga wanapoomba huduma hiyo ila waambiwe namna iliyo njema kwa kadiri ya mpango wa Mungu. Akamalizia kwa kusema kuwa makasisi wanawabariki binadamu na vitu vyao lakini hawabariki ushoga maana Mungu hawezi kubariki dhambi. Lakini watu wakapotosha kwaajili ya malengo yao maovu.
 
Ina maana sisi tutawatisha waumini.....


1740438646541.png
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Kwani Waafrika hawana uwezo wa kukalia hicho kiti?
 
Hivi papa anaweza kuwa mtakatifu kuliko BABA yako MZAZI?Imani nyingine ni utahira mbuzi kabisa tena mzungu


Ukoloni mamboleo hasa wa kifikira ndiyo unaowasumbua waAfrika waliowengi
 
Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .

Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.

Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs

Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Huwa nina waza, hivi ni kweli huyo Roho mtakatifu huwa anawawezesha wazungu tu kuwa ma Papa??? Kwa nini Papa asiwe Mwafrika???? Au ndo kuna kamchezo kanafanyika kuwa favour wazungu!!!!?
 
Wamteue Mtu ambaye bado kijana kidogo angalau mwenye umri wa miaka 50 hadi 55.

Wamekuwa wakiwateua Watu wazee sana
Nilikuwa na mtazamo kama wako,
Ingawa binafsi nafikiri washuke chini ya hapo, miaka 40 mpaka 50.

Mara kwa mara huchagua wazee sana.
 
Back
Top Bottom