Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Situation kama ya John Paul II - hali ilidorora, akaimbwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hadi umauti wake.Figo zimefeli
Mapafu yote hana
Ini limeshachoka
Bandama halifanyi kazi
Kongosho limesimama kupiga kazi
Kilichobaki ni moyo tu na Ubongo hapa siku yoyote utasikia tanzia
Hapo bold punguza mitazamo kwenye mambo ambayo huna uelewa nayoAwali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .
Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.
Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs
Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Wamteue Mtu ambaye bado kijana kidogo angalau mwenye umri wa miaka 50 hadi 55.Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .
Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.
Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs
Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Hana mapafu na Figo zote 2 hana unategemea atanyanyuka kwa kutumia Figo na mapafu yako, hujui muda huu amelala pembeni kuna mtungi wa gesi puani unamuwezesha aweze walau kusogeza dakika ila sio kumuwezesha kuishi miaka 2 mbele
Unajitahidi kujifariji sana lakini ukweli uko wazi. Ni upumbavu mtu kujidanganya mwenyewe.Papa hajawahi wala haitokaa itokee akubali huo uharamu.
Papa mwenyewe hakuwahi kuukubali ushoga. Kwa maneno yake alisema kuwa Kanisa inabidi lisiwatenge, bali liwaoneshe upendo mashoga kama linavyowaonesha wakosefu wengine.Kanisa halijawi kukubali ushoga tatizo Pope alikuwa hana subira anapoulizwa maswali tata yeye alikuwa anajijibia tu kwa utashi wake wa kiimani asijue siyo wote wanaojua maana ya upendo kwa wale wanaohisiwa wana dhambi za moja kwa moja.
But nimekuwa surprised unaposema huyu ni mmoja ya waliomshauri kujibu ujinga ujinga mbele ya kadamnasi.
Ni upumbavu na ujinga kufuatilia habari za udaku na taarifa za kampuni za habari za waasi wa Anglican kama BBCUnajitahidi kujifariji sana lakini ukweli uko wazi. Ni upumbavu mtu kujidanganya mwenyewe.
Ndio hivyo. 😄😄Papa anaonekana wakuja, ukizingatia alipotoka.MACHUGA au siyo?
Kwani Waafrika hawana uwezo wa kukalia hicho kiti?Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .
Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.
Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs
Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Au Christiano RonaldoNadhani ni Jorge Mario
Huwa nina waza, hivi ni kweli huyo Roho mtakatifu huwa anawawezesha wazungu tu kuwa ma Papa??? Kwa nini Papa asiwe Mwafrika???? Au ndo kuna kamchezo kanafanyika kuwa favour wazungu!!!!?Awali ya yote kwa moyo wa dhati tunamtakia kupona kwa haraka baba mtakatifu Fransisco na kujerejea katika utumishi wake wa kanisa kama mchungaji mkuu .
Sote tunatambua jitihada hazishindi kudra, kwa nafasi yetu kama wanadamu tunafanya jitihada ila kudra za mwenyezi Mungu hutoa hitimisho.
Soma Pia: Habari mpya kuhusu Afya ya papa Francs
Nikatika muktadha huo tuapozidi kumuombea nafuu na uponyaji baba yetu huyu wa kiroho ndipo fununu na tetesi na dhana zinapo bainisha iwapo kiti cha uchungaji cha ki papa kitakuwa wazi kadnali Petro parolini ambaye kwa sasa ni karibu mkuu wa vatikani ana dhaniwa kurithi kiti hicho.
View attachment 3248414pamoja na kuwa kiungo mkubwa kati ya vatikani na mataifa pamoja na kanisa ulimwengu, ni mwitalino kwa asili na inakumbukwa kuwa kwa miaka ya hivi karibuni upapa umetoka nje ya Italy hivyo jitihada za kurudisha Italy kwenye mamlaka ya upapa ni mkubwa sana, na safari hii hakuna namna inaweza kushindikana .View attachment 3248417hii yote ni kwa mtazamo wangu, ila mtakubaliana nami parolin anafiti nafasi hii kwa uwezesho wa Mungu na Bwana Yesu na Roho Mtakatifu.
Nilikuwa na mtazamo kama wako,Wamteue Mtu ambaye bado kijana kidogo angalau mwenye umri wa miaka 50 hadi 55.
Wamekuwa wakiwateua Watu wazee sana