Ph.D bila kupata Master

Ph.D bila kupata Master

asante sana mkuu "the state" mungu akubariki. umenielezea vizuri sana, na kuna mtu ameniambia wanaopata admission harvard kutoka bongo wemesoma shule za kimataifa kama IST na lazima uwe na IB sasa wengine tunasoma local schools na vigezo ni vigumu.
Soma tu hapa Bongo jitahidi First Year uwe na GPA ya 4 na umaintain mpaka third year uelewe unayofundishwa na sio kucrame ku copy na ku pest in short utoke umeiva ukimaliza chuo ukiomba kwenda kusoma nje utapa na udhamini work hard kuanzia mwaka wa kwanza kikubwa usiibie jitahidi kuelewa unachosoma na ufaulu vizuri na ukisoma UDSM au SUA ukatoka na hiyo GPA itakuwa poa sana na inawezekana.
 
Wanandugu,

Je, duniani kuna utaratibu wowote unaoweza kukufanya ukapata Ph.D bila kulazimika kupitia kwanza Masters? Kama inawezekana, ni institutions zipi zinao utaratibu huo?
Vyuo Vingi haviruhusu kusoma PhD bila Masters japokuwa inawezekana kusoma PhD bila Masters. Ili upate admission vyuo vinavyotoa PhD bila masters vinahitaji mtu mwenye uelewa wa hali ya juu kwenye area unayotaka kusoma PhD. Kwanza ufaulu wako wa Undergrad.uwe wa kiwango cha juu sana. Pili uwe unaexperience ya kazi ya eneo huzika. Yaani uweze kudemonstrate skills na knowledge uliyo nayo kwenye uwanja unaotaka kusoma PhD. Mara nyingi vyuo vinavyotegemea researches haviruhusu kufanya PhD bila kusoma Masters.
 
Back
Top Bottom