Kenge wa CCM kwenye ubora wao, kuna mkutano mkubwa wa maendeleo unaendelea Nigeria, nguli kibao wa uchumi, wamealikwa na wanatoa mada, Yupo PLO Lumumba kutoka Kenya, yupo Vusi thembekwayo kutoka South Afrika.
Lakini kenge hawa wa bongo wenye PHD za plastic/bandia hakuna aliyeenda, maana yataongea nini!
Biteko, Jafo, Samia, Kikwete, na wapuuzi, wengine wa CCM wenye ma "degree" Ya mchongo, hakuna hata mmoja aliyeenda.
Hata huyu "mchumi" Wa, kuchonga Mwigulu,asingeweza kuongea chochote, kenge kabisa.