Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sifa ambazo hazina miguu wala kichwaHatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa ambazo hazina miguu wala kichwaHatari sana
Sahihi Mkuu, ila ukiwa mpenda shule ukikomaa utaweza tu.Mkuu msoto wa PHD USIKIE TU
Bora zingekuwa zinatatua matatizo hizo PhD, lakini hakuna cha maana zaidi ya Siasa tuSifa ambazo hazina miguu wala kichwa
Aibu kubwa sn unajiita Dr/Pro huku hakuna umeme, maji, dola wala petrolBora zingekuwa zinatatua matatizo hizo PhD, lakini hakuna cha maana zaidi ya Siasa tu
Shida ya Viongozi wetu ni kutanguliza maslahi yao binafsi kuliko matatizo ya Nchi.Aibu kubwa sn unajiita Dr/Pro huku hakuna umeme, maji, dola wala petrol
Tumelaaniwa sisiShida ya Viongozi wetu ni kutanguliza maslahi yao binafsi kuliko matatizo ya Nchi.
Solution za mambo yote hayo tunazo kwa kutumia hizi hizi Masters na degree zilizopo. Changamoto ni kuwa kupitia ukosefu wa dollar, Umeme na Maji kuna Viongozi wananufaika.
Poor us 😢
Hakika MkuuTumelaaniwa sisi
Mtu analala anaamka ana PhD!Nimemtoa Mkuu, huyo walau aliisotea darasani, ila hawa wengine yamepewa za Ubweche
Ndugu zangu baada ya kuanza mfuatiliaji mzuri wa mijadala ya JF na hatimae kuwa member, nimeanza kupata picha kwanini nchi imebaki hivi ilivyo na itaendelea kuwa hivi kwa muda mrefu ujao!
Mtu anaamka asubuhi anaanza kujadili PhD za heshima anazopewa raisi wa nchi? eti mtu anaonea wivu PhD za heshima! kitu ambacho hakina thamani yoyote ya maana kwake wala nchi, ni utamaduni wa kimataifa uliokuwepo kwa miaka mingi, ni kama vile kupigiwa mizinga 21 au kuwekewa zulia jekundu.. nchi hii bhana!
Ukiuliza hapo watakwambia ARDHI YETU, MBUGA ZETU, MADINI YETU! Hivi nani kakudanganyeni kuwa kuna nchi hapa duniani haina ardhi? au rasilimali nyingine tofauti yetu ni kiwango tu na aina ya rasilimali.
Hivi kwa nini hizi heshima hawapewi watu kama kina Trump,Putin nk ni AFRICA TUU HASA TANZANIA
Aliyenacho huongezewa asiyenacho hata kidogo kilichopo kitachukuliwa. Ukweli mbaya kuhusu maisha ya dunia hii.Kuna wakati tuliambiwa China walimpa u-profesa JK. Hapo ilikuwa ni baada ya kupewa PhD za heshima huku na huko! Sasa tena mambo yameanza!
La kujiuliza eti chuo kikuu cha India kinaona mchango wa Rais wa TZ ni mkumbwa kwao kuliko Waziri mkuu wao. Watu fulani wanashangilia, lakini kwa tunaojali nchi, hapo kuna jambo. Ni wepesi wa kuelewa udhaifu wa viongozi wetu.
Si mulionesha njia kwa UD kumpa rais wetu PhD ya heshima? Eti baada ya mwaka mmoja tu Chuo kikongwe cha UD kikaona huyu ni kiboko kwa mchango wa maendeleo. Ila hiyo ilikuwa kabla ya kuuza bandari zetu.
India waliona na waliskia na naamini ubalozi wao ulitoa taarifa hizo kwamba PhD ni dili kwa Ikulu yetu. Sasa PhD zitamiminika sana! LAkini tujiandae kupoteza vingi. NI sawa na biashara ya shanga na kwa dhahabu na almasi za shinyanga.
Aliyenacho huongezewa asiyenacho hata kidogo kilichopo kitachukuliwa. Ukweli mbaya kuhusu maisha ya dunia hii.
Ya heshima hata wewe na mimi tunazistahili. Inategemea huyo Samia anafanya nini kinachoonekana cha muhimu kwa serikali nzima ya India.Aongezewe kihalali, sio kimagumashi. Hakustahili hiyo PhD.
ufisadi una sura nyingi mkuu...si ajabu ukasikia UAE nao wanatoaKuna wakati tuliambiwa China walimpa u-profesa JK. Hapo ilikuwa ni baada ya kupewa PhD za heshima huku na huko! Sasa tena mambo yameanza!
La kujiuliza eti chuo kikuu cha India kinaona mchango wa Rais wa TZ ni mkumbwa kwao kuliko Waziri mkuu wao. Watu fulani wanashangilia, lakini kwa tunaojali nchi, hapo kuna jambo. Ni wepesi wa kuelewa udhaifu wa viongozi wetu.
Si mulionesha njia kwa UD kumpa rais wetu PhD ya heshima? Eti baada ya mwaka mmoja tu Chuo kikongwe cha UD kikaona huyu ni kiboko kwa mchango wa maendeleo. Ila hiyo ilikuwa kabla ya kuuza bandari zetu.
India waliona na waliskia na naamini ubalozi wao ulitoa taarifa hizo kwamba PhD ni dili kwa Ikulu yetu. Sasa PhD zitamiminika sana! LAkini tujiandae kupoteza vingi. NI sawa na biashara ya shanga na kwa dhahabu na almasi za shinyanga.
Bado wewe, maana nimeambiwa unataka kugombea Mwaka 2040 kwahiyo utaitwa Mheshimiwa Dr Saint Anne 🤗Mtu analala anaamka ana PhD!
Anyway,Pongezi kwake Dr Samia
Tena huku mtu akia Dr ukimuita kwa jina lake utasika AM DoctorMwezi wa 8 nilikuwa na wadada wawili(Professors) ni wahadhiri wa chuo cha Manchester tumefanya kazi siku 4 ya 5 ndiyo nikaja kujua kama ni Maprofessors tena wanafundisha chuo kikuu maarufu kama hicho lakini wanapendwa kuitwa Ms, nikasema ingekuwa huku ujingani mpk nyasi zingejua.