PhD za heshima: Msimu wa shahada za Ikulu umeanza tena

Swali la msingi ni kwa nini hawampi raisi au waziri wao mkuu wanakuja kumpa mama Samia ambaye tunajua hana mchango wowote kwa India?
 
Mungu anatuwazia nini lakini?
Mbona nchi yetu imekuwa kichwa cha mwendawazimu?

Kila kinyozi anajinyolea atavyo?
 
Mkuu hat America sijasikia, Dokta Washington, Dokta Bush wala Dokta Obama au Dokta Trump. Hata urusi hakuna Dokta Putin.Tanzania tunamaradhi ya ubongo nadhani.
 
Mkuu hat America sijasikia, Dokta Washington, Dokta Bush wala Dokta Obama au Dokta Trump. Hata urusi hakuna Dokta Putin.Tanzania tunamaradhi ya ubongo nadhani.
Ni kweli, nadhani kuna mambo ya kufanya kuondoa hii mindset
 
Kwa umri wako, umesikia mara ngapi kiongozi mkuu wa US, China, Canada, Russia, UK, Autralia, wakipewa digrii za heshima? Linganisha mendeleo ya nchi zao na hili vumbi letu hadi ikulu.
 
Hivi ukipewa hizo PhD za heshima alafu ukalataa inakuaje?
Nijuavyo kwa kiwango cha rais kupewa digrii ya aina hiyo, lazima vyombo husika vione umuhimu wa kusema ndiyo. Hiyo ni digrii ya heshima kwa rais, siyo kwa Samia. ndo maana sababu wanaozoa Wahindi ni za undandaji wa rais.

Yaonekana yeye anaamini ni Samia siyo rais maana baada ya kupewa na wahindi, hotuba yake badala ya kusema alichofanya kama rais, yeye anakumbuka maisha ya nyumbani kwao utadhani ni PhD ya kusoma kwake.
 
Nyerere nasikia alipewaga nyingi tu ila hakutaka kuitwa doctor kwa sababu alikuwa anajiamini na kichwa chake akataka aendelee kuitwa mwalimu tu.
By 1987 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM ilitangazwa na Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwa Rais wa JMT kuwa Mwalimu alikuwa na Degree za Heshima 18 kutoka vyuo vikuu maarufu tofuti hapa Duniani.
 
Nyerere nasikia alipewaga nyingi tu ila hakutaka kuitwa doctor kwa sababu alikuwa anajiamini na kichwa chake akataka aendelee kuitwa mwalimu tu.

By 1987 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM ilitangazwa na Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwa Rais wa JMT kuwa Mwalimu alikuwa na Degree za Heshima 18 kutoka vyuo vikuu maarufu tofuti hapa Duniani.
Aliyeongoza kwa PhD ni Mandela. Takriban PhD za heshima 64 tangu akiwa gerezani hadi kifo chake. Uzuri alikuwa safi kichwani na zingine alikuwa anatangaziwa kupewa bila hata kuhudhuria. Tena vyuo vizito!
Sisi tunapewa za India. Sawa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…