PhD za kusomea zimeiletea nchi kitu gani?

PhD za kusomea zimeiletea nchi kitu gani?

1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
PhD zenyewe dissertation sijui wanazitoa wapi. Pia wao wanakariri ,wasomi Ni akina Tesla bana ama Albert hawakusoma popote Ila walitoa vitu kichwani mpaka dunia inanufaika na shule yao. Wengine wagundua njia mpya ya kuwakamua wananchi.

Hebu waza mwalimu akakatwa paye anatoa hela anaweka mpesa anakatwa Kodi ,ananunua sukari anakatwa,anamtumia mama take kijijini anakatwa Kodi mama take hela aliyotumiwa,mama ananunua sukari ama nguo inakatwa Kodi.

Huyu jamaa na PhD yake akashindwa kujua hela nchi haizipati kwa kuongezea mzigo wananchi wa Kodi Bali kwa kubuni njia mpya za uzalishaji Mali na kutoa Ajira nyingi kwa raia wake so Wana generate Kodi zaidi na zaidi.
Wameshindwa kushawishi wawekezaji wa tomato sauce ama tulime nyanya tusindike tukauze kwa mjomba uarabuni Hakuna.
Kuna arable land for fruits production Ila jamaa wakishakaa kwa vx or v8 wanajisaahau wanabakia kujaa kiburi kuwa mie Ni msomi wa PhD ya darasani na huku haina impact kwa uchumi wetu zaidi ya kuangalia namna ya kula wanyonge
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Mwingine alikuwa na PhD ya Korosho na maganda yake usisahau pia.
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Pengine kabla ya kutoa hukumu ya jumla kwa kundi zima la wasomi wenye tuzo za udaktari wa falsafa hapa nchini, ama lile kundi lingine la watunukiwa wa tuzo hizo kupitia kutambulika kwa michango yao katika jamii, ni vyema tukaepuka makosa ya kimtazamo kwa kumlinganisha mtu mmoja mmoja ama baadhi yao, na mtu mwingine, na kisha kuhalalisha kuwa ndiyo ni mapungufu ya kundi zima.

Kuna elimu nzuri tunaweza kuipata katika somo la "Organization Behaviors" ambalo linatufundisha kuhusu mapungufu ya kile tunachokiona, kukisoma, kukisikia, kukiamini ama pia hata kuaminishwa.

Ili kukwepa kupoteza maana sahihi ya kimaudhui na kimantiki iliyokusudiwa, pengine nifanye nukuu hii hapa chini katika desa mojawapo linalohusiana na makosa kama hayo ya kimtazamo kuhusu PhD kama vile ifuatavyo,

A perceptual error is the inability to judge humans, things or situations fairly and accurately. Examples could include such things as bias, prejudice, stereotyping, which have always caused human beings to err in different aspects of their lives.

There are many types of perceptual errors in workplace

1.Selective Perception-People generally interpret according to their basis of interests,idea and backgrounds.

2.Halo Effect-We
misjudge people by concentrating on one single behavior or trait

3.Stereotypes-We always have a tendency to classify people to a general groups/categories in order to simplify the matter.

4.Contrast Effect-We sometimes judge people in comparison to others

5.Projection of one's own attitude,personality or behavior into some other person.

6.Impression-We all know the term "first impression is the last impression" and we apply that too
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Dogo ungeacha wivu tu nawe ukaenda shule.
 
1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Ukiacha uporaji wa mali za umma,hakuna chochote unachoweza kusema PhD zimeleta nchi hii.

Ni aina fulani ya pumbazo la akili ili tukubali kutumikia watu wwngine waliopata connection ya kuwa kwenye mfumo huo wa kutawala.

PhD ni cheti fulani hivi cha kutambia watu wasio nacho
 
Ukiacha uporaji wa mali za umma,hakuna chochote unachoweza kusema PhD zimeleta nchi hii.

Ni aina fulani ya pumbazo la akili ili tukubali kutumikia watu wwngine waliopata connection ya kuwa kwenye mfumo huo wa kutawala.

PhD ni cheti fulani hivi cha kutambia watu wasio nacho
PhD in Archaeology
 
Back
Top Bottom