ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Mwingine alikuwa na PhD ya Korosho na maganda yake usisahau pia.1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
😅😅😅PhD za wafrika ni kutumia miaka mingi tu vyuoni lakini Impact ni zero-Bakhressa hana PhD kufanya maajabu. kamalaganda(PhD) sasa.
-Bashiru A. K (PhD) - Tumia Dola ubaki kwenye Dola
NB:-Madelu (PhD) kopa hapa lipa pale.
Hakika unakutana na PhD holder hajielewi kama Zombie😅😅😅PhD za wafrika ni kutumia miaka mingi tu vyuoni lakini Impact ni zero
Umesema kweli tupu!Zimetuletea mafisadi waliojazana kwenye ofisi za umma with zero contribution to our national development.
Umesema kweli Sana!Mfano PhD ya bwana tulia mbunge wa Mbeya mjini ina tija gani kwa faida ?
Pengine kabla ya kutoa hukumu ya jumla kwa kundi zima la wasomi wenye tuzo za udaktari wa falsafa hapa nchini, ama lile kundi lingine la watunukiwa wa tuzo hizo kupitia kutambulika kwa michango yao katika jamii, ni vyema tukaepuka makosa ya kimtazamo kwa kumlinganisha mtu mmoja mmoja ama baadhi yao, na mtu mwingine, na kisha kuhalalisha kuwa ndiyo ni mapungufu ya kundi zima.1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Wanatunga sera ambazo miaka na miaka zimeshindwa kuleta tija kwa taifa letu.Wataalamu wengi waliopo serikalini wanaotunga sera nk,wamefundishwa na hao wenye PHD!
Ile PhD ya Magufuli ilikuwa useless.Mwingine alikuwa na PhD ya Korosho na maganda yake usisahau pia.
Dogo ungeacha wivu tu nawe ukaenda shule.1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
Niko nje ya mada ndugu meneja. Huyo kwenye avator ni wewe?[emoji85][emoji85]Ngoja Meneja wa Makampuni atawaonyesha jinsi ya kuleta impact kwa kutumia elimu
Nje ya mada huyo Bibi kwenye Avatar ni wewe!Niko nje ya mada ndugu meneja. Huyo kwenye avator ni wewe?[emoji85][emoji85]
Ukiacha uporaji wa mali za umma,hakuna chochote unachoweza kusema PhD zimeleta nchi hii.1. Hizo PhD za kusomea zimeleta maajabu kwenye Uchumi, Jamii ya ki-Tanzania? Nchi hii tuliwahi kuwa Na Waziri wa Mambo ya Nje baadae Katiba na Sheria (PhD holder) alifuata Dawa za Mitishamba (feki) na ndege (full-paid) Madagscar.
2. Sasa mnaipamba PhD utadhani wenye nazo wanajielewa.?
PhD in ArchaeologyUkiacha uporaji wa mali za umma,hakuna chochote unachoweza kusema PhD zimeleta nchi hii.
Ni aina fulani ya pumbazo la akili ili tukubali kutumikia watu wwngine waliopata connection ya kuwa kwenye mfumo huo wa kutawala.
PhD ni cheti fulani hivi cha kutambia watu wasio nacho
Ila enz ile tulipigwa pakubwa kinyama 🤣🤣🤣Bupiji kiboko ya uviko kumi na tisa..
Haya rud ndani ya mada.Nje ya mada huyo Bibi kwenye Avatar ni wewe!