Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake


UP Hapa Kazi tu hamsikiki kulikoni mnakwama wapi?
 

Hawa wengine walikuwa wanasikiliza simu zao kwa siri sasa wamerudi!!!!

 
Kweli kabisa.

Sasa tutafute msemo unaoendana na hizi siasa za sasa: Tuziite "Siasa za Ujanja ujanja"! Sijui kama hili lina 'rhyme' vizuri!

Hata hivyo, tofauti yake ni nini hasa kati ya hizo siasa mbili. Matokeo yake yatakuwa ni tofauti?
Hizi ni siasa za Urefu wa kamba....
 
Kwani hata kabla ya dhalimu walikuwa wanashinda kihalali? Dhalimu yeye hakuwa anaiba kura tu, bali alikuwa anapora mchakato wa uchaguzi. Yaani alikuwa mshenzi asiyevumilika.
Ahaaa.. Kwa hiyo kumbe mnapenda hiyo ya kutoshinda kihalali ila mnachukia sana hiyo ya kupora uchaguzi?,!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wacha waingie hawa majizi wa msoga, kuliko yale majizi wauaji wa sukuma gang.
Hata hao wanauana rejea kauli ya kikwete, "CCM hatuachiani maji mezani"
Sema wao wanaua bila kuacha alama, Mwakyembe ilibaki kidogo tu
 
Kwahiyo Mangula hatakiwi kustaafu. Ni mpaka AFIE madarakani?

Hii NCHI, wanasiasa Ni tatizo. Ila wafuasi wa wanasiasa wote Ni tatizo kubwa mnoo
Mm pia najiuliza Kama ww, sipo CCM Wala sio mfuasi wa mangula. Maana pia nilishangaa unakuwaje mtu mwenye 70+ anakuwa na nafasi kubwa hivyo.
Ni Kama Sasa ilivyo kwa Kinana 70+ bado nafasi kubwa Kama hiyo
 
CCM 2015 ilishinda uchaguzi? Acheni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…