Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kwa hali ilivyo sasa hivi ccm imefikia mwisho wa fikra za kiuongozi.
Ilikua inahitajika ccm mpya tena nje ya kuwa madarakani.
Hapo hakuna mabadiliko yoyote yatakayo tokea hata awe nani anaingia wala atakae toka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua inahitajika ccm mpya tena nje ya kuwa madarakani.
Hapo hakuna mabadiliko yoyote yatakayo tokea hata awe nani anaingia wala atakae toka
Sent using Jamii Forums mobile app