Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Amen AmenNdio maana haukuwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen AmenNdio maana haukuwa
kazi ipo wallahMwanasaikolojia 🐼
Hahahahhaa hii ngoma ngumu sana sanaHawa walitakiwa wawe first eleven katika hii mechi.
Lissu aliongea kisasa na amejibiwa kisasa.Masuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!
Mahamuma mzungu wa reliMuungano uchwaraa hatuutakiii, full stop
Ila wee mahamuma muarabu wa mto. [emoji23][emoji23][emoji23]Mahamuma mzungu wa reli
Huu muungano umekuwa laana kwa watanganyika hatuutakiMuungano uchwaraa hatuutakiii, full stop
Hatuutaki haswaaa.Huu muungano umekuwa laana kwa watanganyika hatuutaki
kumjibu lisu ni kuwajibu mabwenyenye ya magharibiMasuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!

Unatakiwa uende Zanzibar na passport...... kama una , wewe ni wa hapa hapa 😀 😀Muungano haukupaswa kuwa suala la kujadiliwa hovyo hovyo!
Wahuni nawasioutakia mema ni wengi mno!
Ni upuuzi mkubwa kuwasumbua viongozi wetu kwa mambo ya kipuuzi ya wehu wachache!Masuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!
Wazanzibar waliopo bara ni wengi mno kiasi endapo wanarudi znz sijui watakaa wapi?, USHOGA NI MBAYA SANA, KWA SABABU UNATUMIA MAUMBILE TOFAUTI NA ILIVYOPANGWA NA MUUMBA YOU JUST GO VICEVERSA!, KATIKA KILA JAMBO!, UMOJA NI NGUVU, HUKO ULAYA WATU WANAUNGANIKA, SASA HUYO BWEGE ANASISITIZA MGAWANYIKO, A VERY STUPIDITY!Unatakiwa uende Zanzibar na passport...... kama una , wewe ni wa hapa hapa 😀 😀
🤣🤣🤣Ni ngumu sana kwa deputy na PhD ya Dodoma kujibu hoja za Lissu maana wataonekana ni traitors kwa Watanganyika na ukizingatia deputy anaonekana ni mtu wa nchi jirani.
Unaonekana una hasira sana.....mpaka unaleta mambo tofauti na andiko....Pole sana...hoja ujibiwa kwa hoja......na hii Tanzania ni yetu sote.😎Wazanzibar waliopo bara ni wengi mno kiasi endapo wanarudi znz sijui watakaa wapi?, USHOGA NI MBAYA SANA, KWA SABABU UNATUMIA MAUMBILE TOFAUTI NA ILIVYOPANGWA NA MUUMBA YOU JUST GO VICEVERSA!, KATIKA KILA JAMBO!, UMOJA NI NGUVU, HUKO ULAYA WATU WANAUNGANIKA, SASA HUYO BWEGE ANASISITIZA MGAWANYIKO, A VERY STUPIDITY!
Timu Imeishiwa Wajenga Hoja Na Wenye Majibu Sahihi Wameona Bora KimyaHizo ndio super sub? au bado kuna sub nyingine tusubirie?
wanakuja kwasasa wako maktaba wanapitia baadhi ya hotuba za mwalimu na maandishi yake kuhusu muunganoMasuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!
huwezi kujiepusha labda ukishuka kaburininingekua CCM ningejiepusha na mijadala ya kipumbavu
mabwenyenye wamekabidhiwa bandari,loliondo na ngorongorokumjibu lisu ni kuwajibu mabwenyenye ya magharibi![]()